Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


The minister for Energy and Minerals, Prof Sospeter Muhongo

The government has embarked on a plan to revive four cashew processing plants in the southern regions, the Prime Minister, Mr Mizengo Pinda, told Parliament yesterday.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

IPPmedia

Energy and Minerals minister Prof Sospeter Muhongo


IPPmedia
Energy and Minerals minister Prof Sospeter Muhongo
IPPmedia
There was heated debate in the National Assembly here yesterday on the Bank of Tanzania's Tegeta escrow account scandal reports, with those implicated including Prime Minister Mizengo Pinda, Attorney General Frederick Werema, government ministers ...
Tanzania PM sidesteps calls to quit over graft claimsReuters Canada
Tanzania PM Mizengo Pinda caught in corruption rowCitifmonline

all 18

 

10 years ago

IPPmedia

Prof Sospeter Muhongo


IPPmedia
Prof Sospeter Muhongo
IPPmedia
It was months, weeks and days of soul searching and probing for Minister for Energy and Minerals Prof Sospeter Muhongo until only yesterday when he called it quits, bowing to pressure that called for his resignation due to mishandling of the Tegeta Escrow ...
Tanzanian minister quits over corruption scandalThe Nation
Tanzania cabinet reshuffledTimes of Oman
Tanzanian President appoints new ministers for energy and landsShanghai Daily (subscription)
Daily...

 

11 years ago

Dewji Blog

Prof Sospeter Muhongo na ujumbe wake watembelea ubalozi wa Tanzania, Washington, DC

IMG_0631

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akitambulisha Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Muhongo kwa Mkuu wa Utawala na Fedha wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Mama Lily Munanka siku ya Jumatatu June 9, 2014 Waziri wa Nishati na Madini na ujumbe wake walipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani ulipo mtaa wa 22, jijini Washington, DC.

IMG_0642

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akitambulisha Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof...

 

11 years ago

Michuzi

PROF SOSPETER MUHONGO NA UJUMBE WAKE WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA, WASHINGON, DC

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akitambulisha Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Muhongo kwa Mkuu wa Utawala na Fedha wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Mama Lily Munanka siku ya Jumatatu June 9, 2014 Waziri wa Nishati na Madini na ujumbe wake walipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani ulipo mtaa wa 22, jijini Washington, DC. Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akitambulisha Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof...

 

11 years ago

Dewji Blog

Prof Sospeter Muhongo, akutana na Mr Mayank Bhargava akiwemo Mr Paul Hinks mjini Washington, Dc

IMG_1884

Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo akifanya mazungumzo na Mr. Mayank Bhargava Mkurugenzi mwendeshaji wa kampuni ya Next Gen Solar USA kwenye ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne June 10, 2014. Katika mazungumuzo hayo alikuwemo Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula na ujumbe wa Mhe. Waziri wa Nishati na Madini aliokuja nao kutoka Tanzania.

IMG_1885

Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo akifanya mazungumzo na Mr....

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROF. SOSPETER MUHONGO AKUTANA NA KAMPUNI YA MTIBWA SUGAR ESTATES LTD

 Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo (mbele) akiongoza kikao kilichoshirikisha watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini na kampuni ya Mtibwa Sugar Estates Ltd.   Profesa Muhongo aliitaka kampuni hiyo  kuwekeza kwenye uzalishaji wa umeme ili kukidhi mahitaji yake zaidi.

 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini -  Madini,  Prof. James Mdoe (kushoto) na Naibu  Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini – Nishati, Dkt. Mhandisi Juliana Palangyo (kulia) wakifuatilia kwa makini...

 

10 years ago

Vijimambo

Ufafanuzi Wa Serikali Uliyotolewa Leo Bungeni na Waziri wa Nishati na Madini, Prof Sospeter Muhongo

Ameweka wazi kwamba fedha za Escrow si mali ya umma,bado Serikali inadaiwaWaziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Muhongo
Sakata la uchotwaji wa fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow linaendelea kuchukua sura mpya baada ya Waziri wa Nishati na Madini, Prof Sospeter Muhongo kutoa ufafanuzi wa Serikali bungeni mjini Dodoma kuwa fedha hizo si za umma na kwamba bado Serikali ina mzigo wa madeni katika sakata hilo.

Kauli ya Prof Muhongo inakuja siku moja baada ya Kamati ya PAC kuwasilisha ripoti...

 

11 years ago

GPL

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI, PROF SOSPETER MUHONGO, AKUTANA NA MR MAYANK BHARGAVA AKIWEMO MR PAUL HINKS MJINI WASHINGTON, DC‏

 Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhomgo akifanya mazungumuzo na Mr. Mayank Bhargava Mkurugenzi mwendeshaji wa kampuni ya Next Gen Solar USA akiwemo mweyeji wake Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula na ujumbe wa Mhe. Waziri wa Nishati na Madini aliokuja nao toka Tanzania.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani