Toeni semina elekezi kwa waajiriwa wapya- Dk. Nchimbi
NA THEODOS MGOMBA, DODOMA
WAKUU wa Idara za Raslimali watu katika Mamlaka za Serikali za Mitaa, wametakiwa kuhakikisha watumishi wanaoajiriwa kwa mara ya kwanza katika halmashauri zao, wanapewa mafunzo elekezi ndani ya miezi sita tangu kuajiriwa kwao.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk. Rehema Nchimbi, alitoa wito huo jana, wakati akifungua Mkutano wa Mwaka wa wakuu wa Idara za Utawala na Rasilimali Watu katika Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Alifungua mkutano huo kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo04 Jan
DC aagiza semina elekezi kwa wenyeviti
MKUU wa Wilaya ya Sumbawanga, Methew Sedoyeka amewaagiza wakurugenzi watendaji wa Halmashauri ya Manispaa na Wilaya hiyo kuandaa semina elekezi kwa wenye viti wa serikali za vijiji, vitongoji na mitaa ili waweze kutambua majukumu yao na kuyatekeleza kwa ufanisi.
11 years ago
MichuziTASAF YAFUNGUA SEMINA ELEKEZI KWA MAAFISA WAKE JIJINI DAR LEO
11 years ago
GPLAIRTEL YAENDESHA SEMINA ELEKEZI KWA VIONGOZI WA SOKA KWA AJILI YA KUJIANDAA NA MICHUANO YA AIRTEL RISING STARS 2014
10 years ago
GPLKATIBU CCM MKOA WA DAR AZINDUA SEMINA ELEKEZI KWA MABALOZI WA MASHINA YA KATA YA VITUKA JIMBO LA TEMEKE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9G7baoLxqPs/XteuqfXFiPI/AAAAAAALshY/68tH87ZSQNAvfNTo_EyBQMCEQvQ_rzjtwCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-1--2048x1211.jpg)
TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE YAWATAKA WAAJIRIWA WAPYA KUWAJIBIKA, KUCHAPA KAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-9G7baoLxqPs/XteuqfXFiPI/AAAAAAALshY/68tH87ZSQNAvfNTo_EyBQMCEQvQ_rzjtwCLcBGAsYHQ/s640/Picha-1--2048x1211.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/Picha-2-scaled.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akiwa katika picha ya pamoja na waajiriwa wapya saba walioajiriwa na Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,...
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
Waajiriwa wapya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo watakiwa kuwa waadilifu
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akiongea kwa msisitizo kuhusu maadili ya Utumishi wa Umma wakati wa ufunguzi wa mafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya wa Wizara hiyo leo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Utawala na Menejimenti ya Rasirimali Watu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Barnabas Ndunguru akifafanua jambo wakati wa mafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya wa Wizara hiyo iliyofanyika leo katika Ukumbi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WoZMvcNdpbM/Uwru_bYUBtI/AAAAAAAFPMM/4mCdj-SI0vY/s72-c/image003.jpg)
VIONGOZI WA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI WAPEWA SEMINA ELEKEZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-WoZMvcNdpbM/Uwru_bYUBtI/AAAAAAAFPMM/4mCdj-SI0vY/s1600/image003.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0_sFzqVNrxw/UwrvBGnUZAI/AAAAAAAFPMU/38u8M46w67M/s1600/image004.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xOwMmwpeQjo/VofWqatVh1I/AAAAAAAIP4g/TfAAlXDADYA/s72-c/07cc07734deb965a0c260fd344549b2d%2B%25281%2529.jpg)
BALOZI SEFUE AONGOZA SEMINA ELEKEZI YA SIKU MOJA KWA MAKATIBU WAKUU NA NAIBU MAKATIBU WAKUU IKULU LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-xOwMmwpeQjo/VofWqatVh1I/AAAAAAAIP4g/TfAAlXDADYA/s640/07cc07734deb965a0c260fd344549b2d%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EW_9heKjo3k/VofTZIxXbSI/AAAAAAAIP3k/j3RDiPoKX_c/s640/32461e58-2202-41b7-ab40-5c9d34cf6987.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9bqIpjBTLLA/VofTgqJNXzI/AAAAAAAIP30/IMj-aapt67s/s640/4f01b802-e7c6-4c2c-92e6-788711775102.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-a3bA2icJ1VI/VofThRQ6cTI/AAAAAAAIP34/lSEqqn0HTGg/s640/4fc6420c-51c8-453d-b799-7121f57db92e.jpg)
10 years ago
Ykileo![](http://1.bp.blogspot.com/-gsxy15ydQJc/VJsoGgMkCmI/AAAAAAAABGc/aZ37j5ZcEpY/s72-c/1.jpg)
DIT YAFANYA SEMINA ELEKEZI YA UFAHAMU WA MASWALA YA USALAMA MTANDAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-gsxy15ydQJc/VJsoGgMkCmI/AAAAAAAABGc/aZ37j5ZcEpY/s1600/1.jpg)
Swala hili limekua liki imizwa sana na mataifa mbali mbali ili kuhakiki matumizi salama ya mitandao yanakuwepo na hatimae kupunguza wimbi kubwa la uhalifu mtandao unao endelea kukua hivi sasa. Katika kuonyesha umuhimu wa swala hili...