Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tofauti ada vyuo vikuu sasa basi

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Anne KilangoMWONGOZO wa ada elekezi utakaondoa utata wa utofauti wa kulipa ada baina vyuo na vyuo nchini, unatarajiwa kukamilika na kuanza rasmi kutumika mwezi ujao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Msitegemee ada pekee, JK aviagiza vyuo vikuu

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amevitaka vyuo vikuu nchini, kutafuta vyanzo vingine mbadala vya mapato katika kujiendesha, badala ya kutegemea malipo ya ada wanazolipwa na wanafunzi ndio wazitumie katika kuendesha taasisi zao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ataka ada elekezi vyuo vikuu

MBUNGE wa Tabora Mjini, Ismail Aden Rage (CCM), ameitaka serikali kufuatilia ada kwenye vyuo vikuu binafsi kutokana na kutoza ada kubwa. Rage alisema hayo alipouliza swali bungeni jana. Akijibu swali...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yaingilia kati ada vyuo vikuu

 Serikali imekunjua makucha yake katika kudhibiti ada zinazotozwa katika vyombo vya utoaji elimu chini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vyuo vikuu marukufu kutoza ada kwa dola

SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, imepiga marufuku vyuo vikuu kutoza ada kwa dola kwa wanafunzi Watanzania wanaosoma katika vyuo hivyo. Kauli hiyo ilitolewa bungeni mjini hapa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mfumo wa kukokotoa Ada za Vyuo Vikuu nchini kukamilika mwezi Aprili, 2015

kilango

Na Johary Kachwamba-MAELEZO, DODOMA

Serikali inaandaa Mfumo (Software) wa kukokotolea ada zinazotumika katika Vyuo Vikuu vyote nchini kutokana na tofauti za kiasi cha ada kinachotozwa na Vyuo Vikuu nchini, Mfumo huu unatarajiwa kukamilika ifikapo mwezi Aprili, 2015.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Anne Kilango (pichani) wakati akijibu swali la msingi la Mhe. Amina Makilagi , Mbunge wa Viti Maalum aliyetaka kujua iwapo mchanganuo wa ada za vyuo vya umma...

 

9 years ago

Michuzi

BARAZA LA VYUO VIKUU AFRIKA MASHARIK(IUCEA)KUWA NA MAONESHO YA VYUO VIKUU UGANDA

Katibu Mtendaji wa Baraza la Vyuo Vikuu Afrika Mashariki(IUCEA)Profesa Mayunga Nkunya akizungumza na waandishi wa habari Jijini Arusha jana kuhusu hali ya wahitimu katika nchi za Afrika Mashariki na ushirikiano wa Baraza la Wafanyabiashara Afrika Mashariki(EABC) kuwajengea uwezo wahitimu ili kumudu soko la ajira .Taasisi hiyo itakuwa na maonesho ya vyuo katika nchi za EAC  Kampala ,Uganda mwezi Oktoba ,2015.Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Wafanyabiashara wa Afrika...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Taaluma vyuo vikuu sasa kwa mtandao


NA WILLIAM SHECHAMBO
HATIMAYE serikali imezindua mradi wa ujenzi wa mtandao wa Internet kwa vyuo vya elimu ya juu na taasisi za utafiti nchini, ambao utaziunganisha na kuziwezesha kushirikiana katika masuala ya kitaaluma.
Mradi huo uliofadhiliwa na Benki ya Dunia, mara utakapokamilika, unatarajiwa kuziunganisha taasisi 28 huku zingine zikipewa fursa ya kujiunga na mradi huo kwa kadri inavyowezekana.
Serikali ya awamu ya nne imekuwa ikiweka mkazo mkubwa katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na...

 

10 years ago

Vijimambo

TAMKO LA UONGOZI WA SERIKALI ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU DODOMA KULAANI KUHUSISHWA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU VYA DODOMA NA KUMUOMBA MH. LOWASA KUGOMBEA URAIS.

Huyu si ndiyo alisema ni raisi wa wanafunzi na sauti zao hapa chini iweje leo waandike barua ya kujikana?. Siasa za bongo ni chenga kweli yani wala siyo {HD}

Tamko la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Dodoma Kulaani Kuhusishwa Kwao Kumshawishi Lowassa Kuchukua Form ya Uraisi
Ndugu Waandishi wa habari, Tunapenda kutanguliza shukrani za dhati kwenu kwa kufika katika eneo hili kutusikiliza.Mbele yenu ni viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka Vyuo vikuu mbalimbali vilivyopo mkoani Dodoma.Ndugu waandishi...

 

9 years ago

Dewji Blog

“Hapa Kazi tu’ Sasa Elimu bure kuanza Januari 2016, Mikopo vyuo vikuu kimeeleweka, safari za nje za vigogo stop

k1

  Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akizungumza na Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini jana Ikulu jijini Dar es salaam kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa kupenda kazi.

k11

Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli  katika picha ya pamoja Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini jana Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kukutana nao na kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani