TOP 5 MISS DAR CITY CENTER WAPATIKANA –MAISHA CLUB
Bonge la Nyau akiburudisha. Baadhi ya warembo wa Miss Dar City Center-2014. Majaji wakifuatilia mashindano kwa makini.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMISS DAR CITY CENTRE 2014 TALENT SHOW KUTIKISA MAISHA CLUB
Shindano hilo litaongozwa na wasanii, Rich...
11 years ago
Dewji Blog16 May
Miss Dar City Centre 2014 Talent Show kutikisha Maisha Club Ijumaa hii
Mratibu wa shindano hilo, Judith Michael akizungumza na wanahabari, pamoja nae ni Mkufunzi wa warembo hao.
Warembo wanaowania taji la Miss Dar City Center 2014 wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mkutano na waandishi wa Habari hii .
Na Father Kidevu Blog
WANYANGE 20 wanao wania taji la Miss Dar City Center kesho Mei 16 mwaka huu watawasha moto vikali katika ukumbi wa Maisha Club wakati wa shindano lao la Vipaji.
Shindano hilo litaongozwa na wasanii, Rich Mavoko, Bonge la Nyau na TID...
11 years ago
MichuziMISS DAR CITY CENTER KUFANYIKA MEI 24
SHINDANO la Miss Dar City Center limezinduliwa rasmi jana na linatarajiwa kufanyika mei 24 kwaka huu katika ukumbi ambao utatangazwa baade, huku likishirikisha warembo 15.
Akizungumza katika uzinduzi huo jana, mratibu wa shindano hilo, Judith Charles alisema kuwa, mwaka huu shindano hilo litambapwa na vionjo tofauti tofauti ili kulifanya kuwa la aina yake.
Judith alisema kwamba, wameangalia changamoto zilizotokea kwa waandaaji wa waliopita wa shindano hilo,...
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Miss Arusha City Center kesho
SHINDANO la kumsaka Redd’s Miss Arusha City Center 2014 linatarajiwa kurindima katika hoteli ya kitalii ya Naura Spring iliyoko katikati ya Jiji la Arusha, kesho. Waandaji wa shindano hilo, Pendo...
10 years ago
Michuzi06 Nov
TANZANIA DIASPORA INITIATIVE Database & Resources Center – one stop center for lucrative opportunities in Tanzania
The diaspora database collects the information of the Tanzanians in the database so as to make it easy to regularly disseminate information concerning...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3A8rUyA9jKOvC9wq1spyzzc42RrfYlGrroRtTN0X-mzYSdyfZDAsfXAdxuQY4XLMr0KONRPm8BnwEK8zwQX2JErBt6wukjUq/darcitycenter.jpg?width=650)
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA IDD MOSI KUZINDUA CLUB MPYA YA MAISHA BASEMENT ZAMANI NEW MAISHA CLUB
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
DC Makonda Idd Mosi kuzindua Club mpya ya Maisha Basement zamani New Maisha Club
Mratibu wa Burudani wa Club mpya ya ‘Maisha Basement’ zamani New Club Maisha, Hemed Kavu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu uzinduzi wa Club hiyo utakaofanyika Idd Mosi katika Jengo la LAPF Towers lililopo mkabala na Makumbusho ya Taifa eneo la Kijitonyama ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Kulia ni Meneja Mkuu wa Club hiyo, Allan Ngugi na Meneja Uendeshaji wa Sam Kaliuki.
Mratibu...
10 years ago
MichuziMAKONDA KUZINDUA CLUB MPYA YA MAISHA BASEMENT ZAMANI NEW MAISHA CLUB