Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TPDC KATIKA KONGAMONO LA DIASPORA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimzawadia Cheti, Afisa wa Shirika la Maendeleo Petroli Tanzania, Ally Mluge kutambua mchango wa TPDC kufanikisha kongamano hilo. Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC Dkt. James Mataragio akimkaribisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe alipotembelea banda la Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania katika Mkutano wa Diaspora jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC, Dkt. James Mataragio...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Diaspora, Serikali kujadili maendeleo katika kongamano

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema Serikali inaandaa kongamano la siku mbili litakalojadili mustakabali wa Watanzania kutoka nchi zote duniani ikiwa ni pamoja na kukutanisha kampuni na wafanyabiashara mbalimbali.

 

11 years ago

Michuzi

TPDC YAENDESHA SEMINA KWA WANAHABARI KUHUSU UCHIMBAJI WA GESI NA MAFUTA KATIKA HOTELI YA OCEANIC BAY $ RESORT, BAGAMOYO LEO

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Mafuta na Petroli Tanzania (TPDC), James Andilile (kulia), akitoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali kuhusu uchimbaji wa gesi na mafuta. Kutoka kushoto ni Rais wa Umoja wa Waandishi wa Habari Mkoa wa Dar es Salaam, Jane Mihanje na Mkurugenzi mstaafu wa TPDC, Yona Killagane.Kaimu Mkurugenzi wa Mipango na Mikakati wa TPDC, Dk.Wellington Hudson, akitoa mada katika semina hiyo.Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Mafuta na Petroli...

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIAN DIASPORA: We Tanzanians in the Diaspora , Believe That Dual Citizenship is a Great Thing for The Country

We Tanzanians in the  Diaspora , Believe That Dual Citizenship is a Great Thing for The Country. Please Support. Dual Citizenship ni : 1. Kwa Ajili ya Wewe 2. Kwa Ajili ya Nchi 3. Kwa Ajili Ya Watoto Wako 4. Kwa Ajili Ya Maendeleo ya Nchi
The government has said that it is high time now for Tanzania to allow dual citizenships so as to enable the Diasporas contribute to the country’s development in terms of income and expertise.
It has been said that many wealthy and well educated Tanzanians living abroad fail to contribute to national development because they are denied the right to dual...

 

10 years ago

Vijimambo

DIASPORA KUTOKA MAREKANI WAWAKILISHA KWENYE KONGAMANO LA DIASPORA DAR

 Diaspora toka Marekani wakihudhuria kongamano la Diaspora 2015 lililoanza leo katika hotel ya Serena iliyopo jijini Dar Es Salaam Kutoka kushoto ni Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn. Idd Sandaly, Bi. Agnetta Kamgisha na Mariam Kalala Nyang'oro kutoka Jumuiya ya Watanzania Nort CarolinaWatanzania wakiwakilisha Diaspora kutoka Marekani wakihudhuria kongamano la Diaspora la Ubia SMEs 2015 Serena Hotel jijini Dar. Kutoka kushoto ni Agnetta Kamgisha, Mariam Kalala Nyang'oro na Asha...

 

11 years ago

GPL

TANZANIAN DIASPORA: WE TANZANIANS IN THE DIASPORA, BELIEVE THAT DUAL CITIZENSHIP IS A GREAT THING FOR THE COUNTRY, PLEASE SUPPORT

Dual Citizenship ni: 1. Kwa Ajili ya Wewe 2. Kwa Ajili ya Nchi 3. Kwa Ajili Ya Watoto Wako 4. Kwa Ajili Ya…

 

9 years ago

Michuzi

JK katika hafla ya kongamano la pili la Diaspora jijini Dar es salaam

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mama wa Mitindo Asia Idarous-Khamsin wakati alipowasili hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo kuhudhuria hafla ya Kongamano la pili la Diaspora. Kushoto mwenye kanzu ni Mhe Ali Mzee Ali, Mjumbe wa Bodi ya AICCRais Kikwete akiwa meza kuu na viongozi wengine katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora. Wengine kutoka kulia ni Mhe Ali Mzee Ali, Mjumbe wa Bodi ya...

 

9 years ago

Vijimambo

FIRM: CONFIRMED: BEYOND THE REASONABLE DOUBT: MWANA DIASPORA KUELEKEA BUNGENI KWA SAUTI YA DIASPORA


Ndugu zangu wana Diaspora; Nimeanza kazi ya kutengeneza vipeperushi na harakati nyingine za kampeni. Tunatarajia kuzindua kampeni Jumapil August, 30, 2015.  Leo nimetengeneza vipeperushi vya kuvaa shingoni 500 kwa Tsh 400/= each. Vinahitajika atleast  20,000. Nimetengeneza 16 vikubwa vya kuweka kwenye magari, Tsh 6250/= each. Jimbo ni kubwa sana; lina wapiga kura 143,189.
Kwa leo nimetumia Tsh 300,000/= kwa vipeperushi 500 vya shingoni na 16 vikubwa kwaajili ya kuweka kwenye magari. Vya...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA DIASPORA INITIATIVE (TDI) — a response to the needs of the Tanzanians in the Diaspora!

Until the recent past, the recounts of most Tanzanians in the Diaspora had been filled with horrific and disappointing experiences regarding mismanagement of funds and investment attempts back home in Tanzania. Most Diasporas entrusted their projects and investments back home to their immediate relations, which, more often than not, led to devastating consequences. Some Diasporas even fear the thought of returning home with little to show for their stay abroad.
The question that lingered in...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS JK AFUNGUA MKUTANO WA KWANZA WA DIASPORA JIJINI DAR ES SALAAM LEO, WANA-DIASPORA KIBAO WAHUDHURIA

Mratibu wa Diaspora katika Ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Suzan Mzee akitoa muhtasari wa mkutano wa Diaspora kabla ya kufunguliwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika ukumbi wa Serena Hotel leo Agosti 14, 2014. Anayeangalia mabango ni mjumbe wa kamati ya maandalizi Bw. Constantine Magavilla.
 Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akimkaribisha Rais Jakaya Mrisho Kikwete kuhutubia na kufungua rasmi Mkutano wa Diaspora. Sehemu ya wageni waalikwa akiwemo Balozi Mwanaidi Maajar ambaye anasifika kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani