Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tujifunze kuhusu majina (nouns)

Leo tunaanza mfululizo wa masomo yanayohusu majina (nouns). Kujua majina ni muhimu katika kujua lugha yoyote. Njia nzuri ya kujua majina kwa urahisi ni kuyagawa katika makundi mbalimabali. Leo tutaanza na majina ya vitu vinavyopatikana kwenye nyumba zetu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TUJIFUNZE NINI TOKA MAJIRANI ZETU KUHUSU FAIDA YA KUTANGAZA NCHI?

Habari na picha za Freddy Macha Fahari ya Kenya. Maonesho ya uzuri na urembo Tamasha la “Kenya in the Park”- Jumamosi iliyopita, tarehe 29 Agosti 2015, lilifana sana. Tamasha kama hili limewahi pia kufanywa mara nyingi na Ghana. Faida yake nini? 1. Kutangaza nchi. Kuendeleza wajasiriamali, elimu, wasanii, nk 2. Kukutanisha wananchi. Kuwaunganisha. Urafiki. Uzalendo. Kujuana. NETWORKING, kwa Kimombo. 3. Wageni huwajua na kutaka kuwatembelea. Utalii, kuwekeza na kuunga mkono miradi mbalimbali....

 

10 years ago

BBCSwahili

Sokomoko kuhusu majina ya wapiga kura Mwanza

Katika kituo cha Meko, nje kidogo ya mji wa Mwanza, kumetokea sokomoko, baadhi ya wakazi wanalalamika kwamba majina yao hayaonekani kwenye daftari la wapiga kura.

 

10 years ago

Africanjam.Com

SHERIA YA UJERUMANI NA DENMARK KUHUSU KUWAPA MAJINA WATOTO


Ujerumani na Denmark kisheria hawaruhusiwi kuwapa watoto majina yoyote nje ya majina 7000 ambayo tayari yamepitishwa, ikitokea mtu atapenda kumuita mwanae jina alipendalo basi atatakiwa kuomba kibali maalum kanisani alafu baadae maombi hayo yanawasilishwa Serikalini, jina likipitishwa basi unaruhusiwa kulitumia.

 

10 years ago

Vijimambo

VIDEO: NAPE AFUNGUKA KUHUSU MAJINA MATANO BORA YALIYOPITISHWA NA KAMATI KUU

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Nape Nnauye akiongea na waaandishi wa habari mara baada ya kutoka kikao cha Kamati kuu. Picha na Kajunason Blog

 

11 years ago

Mwananchi

Tujifunze Kiswahili kupitia magazetini

Ni vizuri tukaendelea kujifunza misingi ya lugha ya Kiswahili kwa kupitia makosa yaliyofanywa na waandishi mbalimbali hasa wa magazeti. Soma maelezo yafuatayo ili upate maarifa zaidi:“Waziri ahimiza kuzalisha wataalamu.”

 

10 years ago

Raia Mwema

Tufundishe na tujifunze lugha za kigeni

HAKUNA ubishi kwamba kuna tofauti kati ya mwanadamu aliyeishi maisha yake yote akifahamu lugha mo

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Mwananchi

Maendeleo ya China, Tanzania tujifunze nini? - 2

Maendeleo ya viwanda yaliongezeka kwa kasi kwa Serikali kuruhusu uongozi wa vijiji kuanzisha viwanda vidogo na vya kati ambavyo viliwanufaisha wafanyakazi na mameneja wa viwanda. Havikuwa mali ya Serikali Kuu.

 

11 years ago

Mwananchi

Vijana tujifunze ujasiriamali ajira hakuna

Serikali nyingi duniani, ikiwamo ya Tanzania zinahaha kuhakikisha zinawapa ajira vijana wake wanaotaka shuleni na vyuoni. Lakini pamoja na juhudi hizo hali bado tete.

 

10 years ago

Mwananchi

Watanzania tujifunze kunufaika na jumuiya A. Mashariki

Tanzania ni moja ya waasisi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki iliyoanzishwa mwaka 1967, ikiwa na Uganda na Kenya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani