Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tujifunze kuvumiliana, Warioba ana uhuru wa kuchambua Katiba

Viashiria vya Tanzania kuingia katika siasa za umwagaji damu vimeanza kuonekana baada ya hivi karibuni aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Mstaafu Joseph Warioba, kufanyiwa vurugu kubwa zilizosababisha kuvunjika kwa kongamano la kujadili mambo ya msingi ya kuangaliwa katika Katiba inayopendekezwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Bunge la Katiba watakiwa kuvumiliana

MWENYEKITI wa Muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho amewataka wajumbe wa Bunge hilo kuvumiliana na kuwa wastaarabu wakati wa mijadala mbalimbali.

 

11 years ago

Mwananchi

Slaa: Rais Kikwete ana rungu la Katiba Mpya

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amemtaka Rais Jakaya Kikwete kujitokeza hadharani kutafuta suluhu ya kupata mwafaka wa mchakato wa Katiba Mpya kwa kuwa hakuna mamlaka nyingine zaidi inayoweza kuunusuru.

 

9 years ago

Habarileo

Wanasiasa watakiwa kuvumiliana

VIONGOZI wa kisiasa nchini wametakiwa kuwa na moyo wa kuvumiliana na kuepuka kutanguliza maslahi binafsi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Warioba ararua Katiba mpya

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amesema Katiba mpya iliyopendekezwa ina kila dalili ya kuvunja maridhiano, mshikamano na Umoja wa Kitaifa wa Serikali ya Mapinduzi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Warioba adhalilishwa mdahalo wa Katiba

Katika mazingira ya kutatanisha, siku ya Jumapili vurugu zimekatisha mdahalo uliokuwa ukiendelea kujadili mchakato wa katiba mpya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani