Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunahitaji sera ya malezi Tanzania

Katika utamaduni wa Mwafrika mtoto ni kiungo muhimu katika familia.Ndoa ambayo haina mtoto huonekana imepwaya na hata upendo hupungua na hata kutoweka baina ya wanandoa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UFAHAMU MTANDAO WA MALEZI MAKUZI NA MAENDELEO YA WATOTO WADOGO TANZANIA (TECDEN)

unnamedKaimu Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Bruno GhumpiMtandao wa Malezi Makuzi na Maendeleo ya Watoto Wadogo Tanzania – TECDEN ni chombo kinachoundwa na mashirikia mbalimbali yanayofanya kazi za kuhudumia watoto wadogo Tanzania. 
Mtandao huu ulianzishwa mwaka 2000 na kusajiliwa rasmi mwaka 2004. Makao makuu ya Mtandao huu yapo Jijini Dar es salaam. 
Hadi kufikia mwaka 2014 Mtandao huu una jumla ya mashirika wanachama wasiopungua 200 katika mikoa 14 ya Tanzania bara na Visiwani yanayotoa huduma kwa...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBA AZINDUA KITINI CHA ELIMU YA MALEZI KWA FAMILIA TANZANIA

 Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Sophia M. Simba (Mb.) akikata utepe kuzindua Kitini cha Zana za Mawasiliano kuhusu Elimu ya Malezi kwa Familia, kushoto kwake ni Mhe. Dk. Pindi H. Chana (Mb) Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, kulia kwake ni Georgina Mtenga kutoka UNICEF na Anna T. Maembe Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto.  Waziri akikabidhi Kitini hicho kwa Muwakilishi wa Watoto.
Wawakilishi wa Watoto, Wazazi, Waandishi wa Habari...

 

10 years ago

GPL

UFAHAMU MTANDAO WA MALEZI MAKUZI NA MAENDELEO YA WATOTO WADOGO TANZANIA (TECDEN)‏

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Bruno Ghumpi. Mtandao wa Malezi Makuzi na Maendeleo ya Watoto Wadogo Tanzania – TECDEN ni chombo kinachoundwa na mashirikia mbalimbali yanayofanya kazi za kuhudumia watoto wadogo Tanzania. Mtandao huu ulianzishwa mwaka 2000 na kusajiliwa rasmi mwaka 2004. Makao makuu ya Mtandao huu yapo Jijini Dar es salaam. Hadi kufikia mwaka 2014 Mtandao huu una jumla ya mashirika wanachama wasioungua 200...

 

10 years ago

Mwananchi

TAFAKURI YA ABDU IDD :Wapigakura wa Tanzania tunahitaji mabadiliko gani?

Wadau wa tafakuri, ni vizuri tukayatafakari mabadiliko, kabla ya kuingia kwenye hatua ya kupiga kura.

 

5 years ago

Michuzi

WAJUMBE UMOJA WA WABUNGE WANAWAKE TANZANIA WASHIRIKI KIKAO CHA MAANDALIZI YA KUTATHMINI MAENDELEO YA PROGRAMU YA MALEZI JIJINI DODOMA


Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza jambo mbele ya Wajumbe wa Umoja wa Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG) wakati wa kikao cha Maandalizi ya Kutathmini Maendeleo ya Programu ya Malezi kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.Kaimu Mwenyekiti Umoja wa Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG) Mhe. Zainab Vullu (katikati) akizungumza na Wajumbe wa Umoja wa Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG) wakati wa kikao cha Maandalizi ya Kutathmini...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Mwananchi

Siyantemi : Tanzania inahitaji sera makini

Mchambuzi wa masuala ya siasa na diplomasia, Amos Siyantemi jana alichukua fomu kama sehemu ya maandalizi yake ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

10 years ago

Dewji Blog

Sera madhubuti ya gesi kuinyayua Tanzania

Mipawa to Ghana

Meneja wa kituo cha Kahama FM Redio, Marco Mipawa (kushoto) akielekea kukwea pipa kuelekea nchini Ghana kwenye ziara ya mafunzo ya wiki mbili. 

Na Marco Mipawa, Accra- Ghana

Tanzania inaweza kuwa nchi ya kwanza katika maendeleo ya uchumi iwapo itaweka sera madhubuti za uzalishaji wa Gesi na kuwa na viongozi wenye dhamira dhabiti ya kuiendeleza nchi na kuboresha maisha ya watu.

Haya yamebainishwa na Meneja wa Redio Kahama FM Marco Mipawa leo wakati akiendelea na ziara ya mafunzo nchini Ghana...

 

9 years ago

Mwananchi

Tanzania yashauriwa kuboresha sera za sayansi

Tanzania imeshauriwa kuzifanyia marekebisho sera za sayansi na teknolojia pamoja na ile ya viwanda na biashara, ili kuhimiza ubunifu utakaochangia kuimarika kwa uzalishaji viwandani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani