Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunisia yaizima Zambia

Tunisia ilichukua fursa ya kushindwa kwa Zambia kufunga mabao ya wazi ilipotoka nyuma na kuishinda miamba hiyo ya Chipolopolo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

Zambia v Tunisia

Preview followed by live coverage of Thursday's Africa Cup of Nations game between Zambia and Tunisia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tunisia kutoana jasho na Zambia

Zambia italazimika kuimarisha safu ya kati katika mechi didi ya Tunisia kufuatia jeraha la mchezaji Nathan Sinkala .

 

11 years ago

GPL

MEXICO YAIZIMA CAMEROON

Oribe Peralta akiipatia bao Mexico katika dakika ya 61 ya mchezo. Mexico wakishangilia ushindi wao dhidi ya Cameroon.…

 

10 years ago

Habarileo

Azam yaizima Yanga

AZAM FC jana ilimaliza ubabe wa Yanga katika michuano ya Kombe la Kagame baada ya kuibuka na ushindi wa penalti 5-4 katika mchezo wa robo fainali uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

11 years ago

Michuzi

URA YAIZIMA SIMBA, YAIFUNGA 1-0

Kiungo mshambuliaji wa Simba, Amri Kiemba (katikati),  akiwatoka  mabeki wa timu ya URA ya Uganda  katika mchezo wa Kimataifa wa Kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. URA imeshinda 1-0. (Picha na Francis Dande)

 

9 years ago

BBCSwahili

UEFA: Barcelona yaizima As Roma

Barcelona wakiwa nyumbani wamechomoza na ushindi wa mabao 6-1 dhidi ya As Roma.

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI YA MABINGWA: Azam yaizima El Merreikh

>Mabingwa wa Tanzania Bara, Azam FC wameanza kwa kishindo Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuichapa El Merreikh kwa mabao 2-0 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA AKUTANA NA WATANZANIA WAJASIRIAMALI WAISHIO NDOLA ZAMBIA

Balozi wa Tanzania nchini Zambia,Mhe Balozi Grace Mujuma tarehe 2 Julai hadi 6 Julai 2014 alifanya ziara ya kikazi ya siku nne jimbo la Copperbelt mji wa Ndola. Katika ziara hiyo, Mhe Balozi aliambatana na Afisa Ubalozi Richard M. Lupembe. Sambamba na ziara hiyo, tarehe 6 Julai 2014 Mhe Balozi alikutana na kufanya mkutano na Watanzania ambao ni wajasiriamali wadogo wadogo wanaoishi Mjini Ndola Zambia.
Katika mkutano huo, Watanzania walikuwa na mengi ya kumweleza Mhe Balozi kupitia risala...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS WA BUNGE LA SADC NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA MHE. ANNE MAKINDA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA MAREHEMU MICHAEL SATA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE LA ZAMBIA MJINI LUSAKA LEO

Mwili wa aliyekuwa Rais wa Zambia marehemu Michael Sata ukiwasili katika viwanja vya Bunge la Zambia leo tayari kwa misa Maalum iliyoandaliwa kabla ya mazishi kufanyika hapo kesho.Rais wa Bunge la SADC na Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda akiwasili katika viwanja vya Bunge la Zambia tayari kushiriki Misa Maalum ya Kumwombea aliyekuwa Rais wa Zambia Mhe. Michael Chilufya Sata kabla ya maziko yake kufanyika hapo kesho.Aliyekuwa Rais wa Serikali ya Awamu wa Zambia Mhe. Lupia Banda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani