TUPAMBANE KUTETEA HAKI YA MKISI NA WATU WA VWAWA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2F0vi222xAI/VncqflSW43I/AAAAAAAAXgE/L8fdSPntOok/s72-c/69043_946910252067334_7381584738559655878_n.jpg)
Malisa GJNaandika haya nikiwa na uchungu mwingi nafsini. Kuna mambo yanayofanywa na serikali ya CCM yanatia hasira, yanaudhi, yanakatisha tamaa. Naomba nitumie fursa hii kumshauri Rais Magufuli kuwa akiendelea kukaa kimya kwenye mambo haya wananchi watapoteza hata ile imani kidogo waliyoanza kuionesha kwake.Vitendo vya ukiukwaji wa wazi wa demokrasia ktk chaguzi mbalimbali ni mambo ya kawaida
CHADEMA Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV25 Aug
Wanafunzi wapewa mafunzo ya kutetea haki za wanyama
Mkurugenzi mtendaji wa jumuiya ya utetezi na haki za wanyama Zanzibar Ali Abdalla Juma amesema kutoa mafunzo juu ya haki za wanyama kwa wanafunzi ni hatua muhimu ya kurithisha imani kwa jamii juu ya kufanya utetezi na kutokuwaadhibu wanyama kwa hali yeyote ile.
Mkurugenzi huyu anasema wameamua kushererhekea siku ya haki ya wanyama Dunia kwa kufanya Mdahalo kwa mashindano ya kutamka herufi mbali mbali kwa lugha ya kingereza takriban kwa skuli 19 za msingi na sekondari katika sentensi zenye...
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
THRDC na harakati za kutetea watetezi wa haki za binadamu
MTETEZI wa haki za binadamu ni mtu yeyote ambaye amejitolea kupinga dhuluma na uonevu dhidi ya binadamu. Kuwa mtetezi wa haki za binadamu hakuhitaji kuwa na shahada wala stashahada kama...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yQls9Rj5e50/VUjJoBPLf8I/AAAAAAAHVgo/pcJj6nzSpas/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
Mabunge Duniani yanawajibu wa kulinda na kutetea haki za Binadamu: Kashililah
![](http://2.bp.blogspot.com/-yQls9Rj5e50/VUjJoBPLf8I/AAAAAAAHVgo/pcJj6nzSpas/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
LILIAN LIUNDI : Mikataba kutetea haki za wanawake iwe shirikishi
SIKU ya Wanawake Duniani huadhimishwa kila ifikapo Machi 8 ya kila mwaka. Katika siku hii wanawake wote duniani huungana kutetea haki zao, kutafakari michango yao katika jamii, mafanikio na changamoto...
10 years ago
Michuzi12 Apr
MTANDAO WA KUTETEA HAKI ZA BINADAMU WAHAMASISHA AMANI KABLA YA UCHAGUZI MKUU
Waandishi wa habari hapa Nchini wametakiwa kuwaelimisha jamii juu ya umuhimu wa amani katika nchi ya Tanzania tunapoelekea uchaguzi mkuu kwa kuandika na kutangaza amani hali itakayosaidia uchaguzi kufanyika kwa amani
Akizungumza katika mkutano wa siku mbili wa kujadili masuala ya ulinzi na usalama kuelekea uchaguzi mkuu,uliofanyika jijini Arusha mwisho mwa wiki, ulioandaliwa na mtandao wa utetezi wa haki za binadamu. Mkuu wa Wilaya ya Arumeru mkoa Arusha Husna Mwilima alisema kuwa...
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
Tume ya Haki za binadamu, UNESCO wataka jamii kutambua haki za watu wenye Albinism nchini
Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Dkt. Kevin Lothal Mandopi akielezea namna ya tume hiyo ilivyo mstari wa mbele kuelimisha Umma dhidi ya vitendo na ukatili kwa watu wenye Ualbinism nchini kwa wadau na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam mapema leo Juni 13.2015.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Tume ya Haki za binadamu na Utawala bora nchini, leo Juni 13,2015, imeungana na watanzania wote kuadhimisha siku ya Kimataifa ya uelimishaji umma kuhusu Ualbino...
10 years ago
Dewji Blog20 Jul
Jaji Bomani akabidhi tuzo kwa Watanzania waliotoa mchango mkubwa kutetea haki na jamii nchini
Jaji mstaafu Mark Bomani (kulia) akimkabidhi Tuzo ya maono mapevu, Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila.
Jaji mstaafu Mark Bomani akimvisha skafu yenye Neno Tanzania Mkurugenzi wa Under the Same Sun,Vicky Ntetema.
Jaji mstaafu Mark Bomani akimkabidhi Tuzo ya uwazi na ukweli Mkurugenzi wa Under the Same Sun,Vicky Ntetema tuzo ya ubunifu, tuzo ambazo zimetolewa na taasisi ya Dream Success Enterprises.
Jaji mstaafu Mark Bomani Skafu Saed Kubenea taasisi ya Dream Success...
10 years ago
VijimamboJAJI MARK BOMANI MGENI RASMI UTOAJI TUZO KWA WATANZANIA WALIOTOA MCHANGO MKUBWA KUTETEA HAKI NA JAMII NCHINI DAR ES SALAAM JANAâ€
10 years ago
GPLJAJI MARK BOMANI MGENI RASMI UTOAJI TUZO KWA WATANZANIA WALIOTOA MCHANGO MKUBWA KUTETEA HAKI NA JAMII NCHINI DAR ES SALAAM JANA