‘Tutatendelea kuzibana nchi tajiri hewa ukaa’
NAIBU Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Ummy Mwalimu, amesema bado nchi za Afrika zitaendelea kuzibana nchi tajiri kutozalisha hewa ya ukaa inayochangia kwa kiasi kikubwa mabadiliko ya tabianchi....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo03 Nov
Tanzania kuingiza hewa ya ukaa sokoni
WIZARA ya Maliasili na Utalii imeahidi kuiingiza Tanzania katika biashara ya kimataifa ya uuzaji wa hewa ya ukaa duniani kama moja ya kipato kipya kwa serikali pamoja na wananchi mmoja mmoja.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Fhkr5VpbCUg/VAW71yV_D4I/AAAAAAAGbbs/NwDjDszAE58/s72-c/unnamed.jpg)
WWF YATOA MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA IDARA ZA HALMASHAURI YA MANSIPAA YA KINONDONI KMC JUU YA KUKABILIANA NA UENEAJI WA HEWA UKAA NA NISHATI JADIDIFU NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Fhkr5VpbCUg/VAW71yV_D4I/AAAAAAAGbbs/NwDjDszAE58/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m_xB2NauOkQ/VAW758pLqFI/AAAAAAAGbb0/ntdu4_SxCXQ/s1600/unnamed.jpgn.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Pengo la maskini, tajiri kuchafua nchi
MKUU wa Wilaya ya Kongwa, Alfred Msovela, amesema kuna uwezekano wa taifa kuingia katika machafuko kutokana na kuwepo kwa matabaka ya wenye nacho na wasiokuwa nacho. Alisema kutokana na wachache kuwa na...
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Pengo la masikini, tajiri kuchafua nchi
MKUU wa Wilaya ya Kongwa, Alfred Msovela, amesema kuna uwezekano wa taifa kuingia katika machafuko kutokana na kuwepo kwa matabaka ya wenye nacho na wasiokuwa nacho. Alisema kutokana na wachache...
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Je kinga ya virusi vya corona itaziba pengo la chanjo kati ya nchi tajiri na maskini?
9 years ago
Michuzi03 Sep
HAJA YA HOJA: NI LINI TAJIRI AKAPENDA MASKINI AKAWA TAJIRI KAMA YEYE
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jUsys5IIb-Q/VIWWTCotiOI/AAAAAAADRKQ/czUQxGXW8lo/s72-c/uk-met.jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jUsys5IIb-Q/VIWWTCotiOI/AAAAAAADRKQ/czUQxGXW8lo/s1600/uk-met.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s6H8gBDNMEY/VIVjIbUrWrI/AAAAAAAG16A/Rbr5217A81c/s72-c/unnamed%2B(68).jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI
Akizungumzia makubaliano hayo Dkt Agnes Kijazi alisema Mamlaka ya Hali ya Hewa ililiomba Shirika la Hali ya Hewa Duniani kuisaidia TMA kuboresha huduma zake ili ziwe za kisasa...