TUZO ZA KILI 2015 KILICHOMPONZA DIAMOND NI HIKI!
![](http://api.ning.com:80/files/Lf1B3Uv2G4tJBjyczjlBZ*Dmfie8Xzs39YZMMZVGMGPQlkqcBuuVOANEOJZ9Ou62qh-uZv6h7mTzGsDV30lzcsFVl1nbN2Yt/diamondcopy.jpg?width=650)
Waandishi Wetu Tuzo za Muziki za Kili 2015, Jumamosi ya wiki iliyopita zilitimua vumbi kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Mwenge jijini Dar es Salaam ambapo maelfu ya Watanzania wanaopenda burudani walikuwa wakifuatilia mwenendo mzima wa tuzo hizo, ambapo msanii Ali Kiba aling’ara baada ya kunyakua tuzo tano na kumuacha mbali hasimu wake mkubwa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ aliyeambulia tuzo mbili tu. Baadhi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Jun
Ali Kiba, Diamond ‘wakacha’ tuzo za Kili 2015 kiaina
10 years ago
Mtanzania30 Apr
Ali Kiba, Diamond, Jux wapeta tuzo za Kili
NA ZAITUNI KIBWANA
WASANII wa muziki wa bongo fleva, Ali Kiba, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Juma Jux, wameingia katika vinyang’anyiro sita vinavyogombewa katika tuzo za muziki ‘Kili Music Award’.
Ali Kiba ameingia kwenye kipengele cha mtumbuizaji bora wa muziki wa kiume, wimbo bora wa mwaka, mwimbaji bora wa kiume, mtunzi bora, video bora ya mwaka na mwimbaji bora wa Afro-Pop.
Naye Diamond ameingia kwenye kipengele cha mtumbuizaji bora, mwimbaji bora, mtunzi bora, wimbo bora wa Zouk, wimbo bora...
10 years ago
VijimamboTUZO ZA KILI MUSIC AWARD 2015 KATIKA PICHA
10 years ago
GPLWASHINDI WA TUZO ZA KTMA 2015, ALI KIBA AIBUKA NA TUZO TANO, DIAMOND PLATINUMZ MBILI
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-FZlWcR2SFEQ/VXy3fVfquCI/AAAAAAAACCw/geTRcLQ8mlg/s72-c/GPL.gif)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10