Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUZO ZA KILI MUSIC AWARD 2015 KATIKA PICHA

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda(kulia) akimkabidhi ndugu wa karibu wa Mwanamuziki, Ally Kiba Tuzo ya tano katika hafla ya Kilimanjaro Tanzania Music Awards iliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam. Picha zote kwa hisani ya Father Kidevu Katibu Mtendaji wa BASATA, Godfrey Mngereza(kulia) akimkabidhi Mkurugenzi wa ASET, Asha Baraka kwa niaba ya aliyekuwa Mkurugenzi wa TOT, Marehemu Kaptani John Komba Tuzo ya udau wa Muziki aliyefanikisha maendeleo ya Muziki (Hall of Fame).

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kili Music Award 2015?

Msimu wa utoaji tuzo kwa wasanii wa muziki Tanzania wanaofanya vizuri umewadia huku mchakato wa awali wa mchanganuo wa tuzo hizo za Kili Tanzania Music Awards 2015 (KTMA) ukianza rasmi wiki hii.

 

10 years ago

Mwananchi

Pazia la tuzo za Kili Music lafunguliwa

Msimu mpya wa tuzo za Kilimanjaro Music Award‘KTMA’ umezinduliwa rasmi jana utatumia sh1 bilioni hadi kukamlika kwake.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Kili Music Tour 2014 yaacha historia Kigoma

Diamond na Wasafi wakitumbuiza Umati wa mashabiki ukiisubiria burudani katika uwanja wa Lake Tanganyika Backstage: Christian Bella, Nikki wa Pili na Amini Backstage: MwanaFA Backstage: Profesa Jay Mfalme wa Taarab nchini Mzee Yusuph ndiye aliufungua usiku wa Kili Music Tour Amini akiwaimbisha mashabiki moja ya nyimbo zake Mwasiti ambaye asili yake ni mkoa wa Kigoma […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Dodoma yajiandaa kuzungusha Kikwetu Kili Music Tour

Wakazi wa Dodoma na vitongoji vyake leo wanatarajiwa kushuhudia tamasha la Kili Music Tour litakalofanyika uwanja wa Jamhuri. Muonekano wa jukwaa litakalotumiwa na wasanii katika uwanja wa Jamhuri Joh Makini, Gnako na Ben Pol wakiwasili mkoani Dodoma Tamasha hilo ambalo mpaka sasa limezunguka mikoa 6 litawakutanisha wasanii zaidi ya 10 katika jukwaa moja waliofanya vizuri […]

 

10 years ago

GPL

TUZO ZA KILI 2015 KILICHOMPONZA DIAMOND NI HIKI!

Waandishi Wetu Tuzo za Muziki za Kili 2015, Jumamosi ya wiki iliyopita zilitimua vumbi kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Mwenge jijini Dar es Salaam ambapo maelfu ya Watanzania wanaopenda burudani walikuwa wakifuatilia mwenendo mzima wa tuzo hizo, ambapo msanii Ali Kiba aling’ara baada ya kunyakua tuzo tano na kumuacha mbali hasimu wake mkubwa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ aliyeambulia tuzo mbili tu. Baadhi...

 

10 years ago

Bongo5

Kili Music Tour 2014: Jinsi wakazi wa Tanga walivyozungusha Kikwetu (Picha)

Mkoa wa Tanga umefunga matamasha ya Kili Music Tour yaliyokuwa yakizunguka mikoa mbalimbali nchini kwa show iliyojaza umati mkubwa wa mshabiki uwanja wa Mkwakwani. Mtangazaji wa EATV Abdallah Hamis Ambuaa “Dulla” akiendesha shindano kwa kina dada wa Tanga waliojitokeza uwanjani kushuhudia Kili Music Tour Tamasha hilo linalodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager lilipambwa na […]

 

10 years ago

Michuzi

KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARD 2015

KIKUNDI BORA CHA MWAKA - BONGO FLEVA - YAMOTO BANDKIKUNDI BORA CHA MWAKA TAARAB - JAHAZI MODERN TAARAB

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

10 years ago

Mwananchi

Mavazi yaliyotamba Kili Music Awards 2015

Usiku wa tarehe 13, Juni ulikuwa ni usiku wa Tuzo za Kilimanjaro Muziki (KTMA) na washiriki walionyesha mavazi mbalimbali.

 

11 years ago

Michuzi

FATILIA HAPA UTOAJI TUZO ZA KILI MUSIC LIVE KUTOKA MLIMANI CITY JIJINI DAR


Ufunguzi wa Shoo katika Tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music umengozwa na msanii wa Bongo Fleva,Hamis Mwinjuma a.k.a MwanaFA akiwa ameambata na Wamasai kawa waonekanavyo pichani. Selfie ya Ankal na Anti ndani ya Ukumbi wa Mlimani city jijini Dar es Salaam hivi sasa,wakiwa kwenye hafya ya utoaji tuzo za Kili Music Awards.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani