Uandikishaji ukamilike kabla ya Uchaguzi Mkuu
Serikali hii inashangaza. Mwishoni mwa mwaka jana ilipotangaza kwamba Aprili 30 mwaka huu itakuwa siku ya kupiga Kura ya Maoni kwa Katiba Inayopendekezwa iliona mbali sana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo03 Oct
Pinda atamani kura kabla ya Uchaguzi Mkuu
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema ana shauku kuona Katiba Inayopendekezwa, inapigiwa kura na Watanzania na kuwa Katiba kabla hata ya Uchaguzi Mkuu wa mwakani, kwa kuwa ikiachiwa kuna watu wanaweza kuleta vurugu.
9 years ago
CHADEMA BlogKAULI YA PROF MWESIGA BAREGU KABLA YA UCHAGUZI MKUU
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GJfP2j1kdxg/VdghzHcNzNI/AAAAAAAHzEI/zxcaG_cu4_g/s72-c/IMG-20150801-WA0050.jpg)
CCM YAANZA NA MTAJI WA UBUNGE KABLA YA UCHAGUZI MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-GJfP2j1kdxg/VdghzHcNzNI/AAAAAAAHzEI/zxcaG_cu4_g/s320/IMG-20150801-WA0050.jpg)
Hatua hiyo Imetokea baada ya wagombea wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Na aliekuwa Mgombea wa Chama cha Wananchi CUF Kutojitokeza Kurudisha Fomu...
10 years ago
Dewji Blog04 Oct
Katiba mpya ikamilike kabla ya Uchaguzi Mkuu — Mizengo Pinda
Na Mwandishi wetu
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (pichani) amesema atafurahi kuona mchakato mzima wa Katiba ukikamilika kabla rais mpya hajapatikana katika Uchaguzi Mkuu ujao.
Akizungumza Bungeni baada ya kupewa nafasi na Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta kutoa shukrani, Pinda alipendekeza kura ya maoni ipigwe sambamba na Rais ili kiongozi ajaye afanye kazi ya kutekeleza matakwa ya Katiba hiyo.
Alisema rais ajaye anaweza kuwa na ajenda zake, hivyo ni muhimu kumaliza kazi yote na...
10 years ago
Michuzi12 Apr
MTANDAO WA KUTETEA HAKI ZA BINADAMU WAHAMASISHA AMANI KABLA YA UCHAGUZI MKUU
Waandishi wa habari hapa Nchini wametakiwa kuwaelimisha jamii juu ya umuhimu wa amani katika nchi ya Tanzania tunapoelekea uchaguzi mkuu kwa kuandika na kutangaza amani hali itakayosaidia uchaguzi kufanyika kwa amani
Akizungumza katika mkutano wa siku mbili wa kujadili masuala ya ulinzi na usalama kuelekea uchaguzi mkuu,uliofanyika jijini Arusha mwisho mwa wiki, ulioandaliwa na mtandao wa utetezi wa haki za binadamu. Mkuu wa Wilaya ya Arumeru mkoa Arusha Husna Mwilima alisema kuwa...
10 years ago
Habarileo27 Nov
Tamisemi yahamasisha uandikishaji uchaguzi wa serikali za mitaa
OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imeomba viongozi wa vyama vya siasa na asasi za kiraia kuhamasisha watanzania kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kupiga kura waweze kushirikiana katika uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_RprASZHN6Q/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aIcklb4dpzE/VXmSnsi6sWI/AAAAAAAHesM/pduYX42oGWU/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-06-11%2Bat%2B4.51.34%2BPM.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PwZ-S63TeHc/VZU-n9Zcu6I/AAAAAAAHmb8/34tCN6OaXWg/s72-c/img_1741.jpg)
TUME YA UCHAGUZI YATANGAZA KUANZA UANDIKISHAJI BVR DAR ES SALAAM NA PWANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-PwZ-S63TeHc/VZU-n9Zcu6I/AAAAAAAHmb8/34tCN6OaXWg/s400/img_1741.jpg)
Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura kwa teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR) lililoahirishwa katika jiji la Dar es salaam na mkoa wa Pwani hivi karibuni sasa litafanyika kuanzia Julai 7-20 kwa mkoa wa Pwani na Julai 16- 25 kwa jiji la Dar es salaam.
Uboreshaji wa Daftari hilo kwa jiji la Dar es salaam na Mkoa wa Pwani uliahirishwa kutokana na kuchelewa kwa vifaa vya uboreshaji kutoka mikoani ambavyo vilipelekwa ili...