Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi wa madiwani umeacha somo

UCHAGUZI wa madiwani katika kata 27 nchini umemalizika, matokeo tumeyasikia, lakini umeacha somo moja kubwa ambalo vyama vya siasa vya upinzani havina budi kujifunza kwa ajili ya kukabiliana na Chama...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

ALAT yawapa somo madiwani

SHIRIKISHO la Serikali za Mitaa (ALAT) Mkoa wa Geita limewataka wenyeviti wa halmashauri na madiwani kushirikiana na watendaji kuhakikisha maendeleo ya mkoa huo yanasonga mbele. Mwenyekiti mpya wa ALAT Mkoa...

 

5 years ago

Michuzi

Tume ya Uchaguzi imekutana na vyama vya siasa kujadili na kupitisha kanuni na maadili kwa uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2020



Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu
Semistocles Kaijage, akizungumza katika Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, akifafanua hoja zilizotolewa na Washiriki wa Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na...

 

11 years ago

GPL

UPDATES: MATOKEO YA UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI

Mpaka sasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeshinda kata tatu ambazo ni: Kata ya Sombetini Arusha, Kata ya Njombe Mjini, Kata ya Kiborloni Mkoani Kilimanjaro.

 

11 years ago

GPL

UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI WAANZA NCHINI

Zoezi la kupiga kura katika Uchaguzi Mdogo wa Madiwani kujaza viti vilivyo wazi kwenye kata 26 zilizoko katika halmashauri 23 umeanza katika vituo mbalimbali nchini!

 

11 years ago

Mwananchi

CCM, Chadema kupambana leo uchaguzi wa madiwani

Uchaguzi wa madiwani katika Kata za Malindo wilayani Rungwe na Santiliya katika Wilaya ya Mbeya Vijijini, unafanyika leo.

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema kimeshindwa kwa mengi uchaguzi madiwani

>Wapo wanaosema uchaguzi mdogo uliofanyika Februari 8 mwaka huu katika kata 27 zilizopo ndani ya mikoa 15 nchini umepeleka chereko CCM na majonzi Chadema.

 

11 years ago

Habarileo

Madiwani wapinga kushiriki uchaguzi na wabunge, rais

Mwenyekiti wa Alat Taifa, Dk Didas MasaburiWAJUMBE wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (Alat), ambao wengi ni madiwani wamepinga utaratibu wa Uchaguzi Mkuu, kutumiwa na wananchi kuchagua rais, wabunge na madiwani.

 

11 years ago

GPL

BAADHI YA MATOKEO UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI LEO

CHADEMA WAMESHINDA: Sombetini Arusha, Kata ya Njombe Mjini, Kata ya Kiboriloni Kilimanjaro, Kata ya Partimbo na Kata ya Loolera zote za Kiteto! CCM WAMESHINDA: Kata ya Tungi Morogoro, Kata ya Kiomoni Tanga na Kata zote tatu za mkoa wa Iringa!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani