Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UCHAGUZI WA SERIKALI YA WANAFUNZI CBE MWANZA 2014

Wagombea uchaguzi wa Rais wa Serikali ya wanafunzi Chuo cha Biashara CBE Mwanza Dismas Vedatus na Projestus K. Herman katika  bango.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

RAIS WA WANAFUNZI CBE

Escrow tunaanzia shule..rais wa wanafunzi CBE akutwa na milion 16 chumbani kwake mali halali ya serikali ya wanafunzi cobesso. Kaforge sahii ya dean of student.

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA JIJINI MWANZA ULIVYOKUWA JANA

Baadhi ya wananchi wa Kata ya Mbugani wakiwa wamemaliza kupiga kura na kusogea umbali wa kilometa 100 unaotakiwa wakisubiri matokeo ya uchaguzi huo hapa jijini Mwanza jana. Mama aliyefahamika kwa jina la Gelda Nathaeli wa Kata ya Mbugani akiwa anapiga kura ya kumchagua kiongozi anayemtaka katika uchaguzi…

 

10 years ago

StarTV

Uchaguzi Serikali za Mitaa, CCM Mwanza chalalamikia usimamizi mbovu.

Na Maliganya Charahani, Mwanza.ALIGANYA

 

 

Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza kimelalamikia utaratibu mbovu wa wasimamizi wa zoezi la uchaguzi wa Serikali za mitaa kuchangia baadhi ya wananchi kushindwa kupiga kura na wengine kukosa majina yao katika daftari la kumbukumbu.

Dosari kubwa zinatajwa na CCM kujitokeza katika wilaya za Sengerema na Kwimba kubwa likielezwa ni kuchelewa kufika kwa vifaa vya kupigia kura.

Mbali na lawama hizo za CCM, nacho Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi wawili CBE wafa ajalini

WANAFUNZI wawili wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) wamefariki dunia jijini Dar es Salaam juzi katika ajali ya gari iliyotokea katika viwanja vya Shabaha. Akizungumzia ajali hiyo, Kamanda wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi bora CBE wapata tuzo

TZ-College-of-Business-Education

Na. Aron Msigwa – MAELEZO

Chuo cha Elimu ya Biashara kampasi ya Dar es salaam kimetoa tuzo kwa wanafunzi bora 12 waliohitimu na kufanya vizuri katika masomo yao kwa mwaka wa masomo 2014/2015 ikiwa ni sehemu ya utaratibu wa chuo hicho kuenzi na kuthamini mchango walioutoa katika maendeleo ya taaluma chuoni hapo.

Akikabidhi tuzo hizo katika hafla fupi iliyofanyika jana jijini Dar es salaam, aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na mwenyekiti wa sasa wa wanafunzi ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi CBE washauriwa kujiunga NSSF

WANAFUNZI wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) wameaswa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) ili wanufaike na mafao ya muda mrefu na mfupi yanayotolewa. Meneja...

 

10 years ago

Michuzi

CBE YATOA TUZO KWA WANAFUNZI BORA

Na. Aron Msigwa – MAELEZO
Chuo cha Elimu ya Biashara kampasi ya Dar es salaam kimetoa tuzo kwa wanafunzi bora 12 waliohitimu na kufanya vizuri katika masomo yao kwa mwaka wa masomo 2014/2015 ikiwa ni sehemu ya utaratibu wa chuo hicho kuenzi na kuthamini mchango walioutoa katika maendeleo ya taaluma chuoni hapo.
Akikabidhi tuzo hizo katika hafla fupi iliyofanyika leo jijini Dar es salaam, aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na mwenyekiti wa sasa wa wanafunzi  waliomaliza...

 

10 years ago

Vijimambo

JIONI YA LEO MWANZA,MWIGULU AFUNIKA MKUTANO KUELEKEA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA


Mapokezi ya Mwigulu Mwanza jioni ya
leo tar 12.12.2014 Viwanja vya shule ya Msingi Mabatini.Mwigulu Nchemba akiwasili Viwanja vya Mabatini akiwa amongozana na Mwenyekiti wa Geita Ndugu Joseph Msukuma.Wananchi wakifurahia Ujio wa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Comrade Mwigulu Nchemba.Mwigulu Nchemba akizungumza na wananchi wa Mabatini Mwanza hii leo.Naibu katibu Mkuu CCM Bara akionekana kukasilika na Kitendo cha Machinga na Mamantile kunyanyaswa Jijini Mwanza,Hivi sasa ameomba Halmashauri ya ...

 

11 years ago

Mwananchi

Uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 na Katiba Mpya

Wiki iliyopita mtandao unaojishughulisha na masuala ya sera nchini wa Policy Forum, ulio na wanachama mashirika 70 ulitoa tamko lao kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa, unaotarajiwa kufanyika Septemba au Oktoba 2014.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani