UCHAMBUZI: Tunaitamani KCMC ya mwaka 1971 iliyojali utu
>Aprili 12, 2010, mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa alitoa kauli ambayo kwa hakika ilipaswa kuirudisha Hospitali ya Rufaa ya KCMC katika mstari.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-G-Vb6_fGPjk/VEdDi-GDOqI/AAAAAAADKV4/lioB36iJPzQ/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Katiba mpya itatowesha madhila ya sheria kandamizi ya ndoa ya mwaka 1971: Dk Chana
![](http://2.bp.blogspot.com/-G-Vb6_fGPjk/VEdDi-GDOqI/AAAAAAADKV4/lioB36iJPzQ/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
Juhudi za kutokomezwa kwa ndoa na mimba za utotoni huenda ziakatimia nchini Tanzania baada ya kuingizwa kwa kipengele cha kumtambua mtoto kuwa ni mtu yeyote aliyeko chini ya umri wa miaka 18 katika rasimu ya katiba. Amesema naibu waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia na watoto Dk Pindi Chana.
Katika mahojiano maaluma na Joseph Msami wa idhaa hii muda mfupi baada ya kuhutubia baraza kuu la Umoja wa Mataifa, Dk...
11 years ago
Dewji Blog08 May
Mzee aishi wodini kwa miaka 45 tangu Januari mosi mwaka 1971
Mzee Abdi Nkhambi Lanjui (75) akiwa wodi namba nne katika hospitali ya mkoa mjini Singida. Mzee Lanjui mzaliwa wa kijiji cha Mhintiri tarafa ya Ihanja, aliyekuwa dereva wa kampuni ya mamlaka ya Pamba Mwanza, alipata ajali katikati ya mwaka 1968 na kulazwa katika hospitali ya Sekoture Mwanza na baadaye mwishoni mwa mwaka 1970,alihamishiwa hospitali ya mkoa wa Singida, ambako anaishi hadi sasa. Ajali hiyo ilisababisha kukatika mawasiliano kati ya kuanzia kiunoni na kushuka chini ambako...
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971, chanzo cha ongezeko la mimba na ndoa za utotoni nchini
Mratibu wa Utetezi Taifa, SOS Tanzania/Zanzibar, John Batista, akizungumza katika Mdahalo wa Nijali uliolenga ndoa za utotoni na mimba za utotoni kwa kushirikisha Chama cha Waandishi wa Habari za Watoto, (TAJOC) na wengine, uliofanyika leo katika Hoteli Regency jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale, Modewjiblog.com
Imeelezwa kuwa, kuongezeka kwa ndoa za utotoni inatokana na sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kuendelea kutumika wakati hali yake ni mbaya kwa watoto wakike kushindwa kufikia ndoto...
10 years ago
Habarileo06 Jun
‘Sheria ya 1971 inachangia ndoa, mimba za utotoni’
SERIKALI imeombwa kuangalia upya Sheria ya mtoto ya mwaka 1971 kwani imebainika kuwa ndio chanzo kimojawapo kinachoruhusu na kuchangia ndoa za utotoni pamoja na mimba za utotoni.
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
Serikali yakiri sheria ya ndoa ya 1971 haifai
Mgeni Rasmi katika utambulisho wa kampeni ya kitaifa kupinga ndoa za utotoni (National Ending Child Marriage Campaign), Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Anna Maembe, akizungumza na waandishi wa habari umuhimu wa kufanyia marekebisho sheria ya ndoa ya mwaka 1971.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
.Wadau watambulisha kampeni ya kupambana tatizo la ndoa za utotoni
Na Mwandishi Wetu, MOblog Tanzania
SERIKALI ya Tanzania imekiri kwamba Sheria ya Ndoa ya 1971 ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lxhUapSiy4Y/XkWhfJOiV2I/AAAAAAAAQMo/-tfdXRdCFTAJEDznPs85ZaT7lpVJEvzcQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200213-WA0107.jpg)
UKEKETAJI HUONDOA UTU NA HADHI YA MWANAMKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-lxhUapSiy4Y/XkWhfJOiV2I/AAAAAAAAQMo/-tfdXRdCFTAJEDznPs85ZaT7lpVJEvzcQCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200213-WA0107.jpg)
Jamii imetakiwa kuondoka na na dhana potofu ya kumkeketa mtoto wa kike na kumuondolea hadhi na utu wake kama Mungu alivyomuumba badala yake wabadilike na kukemea kitendo hicho kwani ni ukiukaji wa haki za kibinadamu
Ukeketaji unawaathiri wasichana na wanawake kwa asilimia kubwa pia kitendo hicho kinadhoofisha uchumi pamoja na nguvu kazi, unaathiri afya ya mwili na akili za kwa wanawake wanaokeketwa hivyo jamii inapaswa kuungana ili kupinga kitendo hicho
Hayo yamesemwa na...
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Utu ni zaidi ya fedha na mali zako
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-kgAlxp3hAM0/VM6FdXcFbrI/AAAAAAADXBQ/LdRjtGLdBPw/s72-c/PeterKazaura.jpg)
Makamo mwenyekiti wa UTU kuwasili Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-kgAlxp3hAM0/VM6FdXcFbrI/AAAAAAADXBQ/LdRjtGLdBPw/s1600/PeterKazaura.jpg)
Mazungumzo hayo yatalenga upatikanaji wa Fursa zilizopo Tanzania kwa Diaspora. akiendelea kueleza msemaji wa Umoja huo...
9 years ago
Bongo514 Sep
Music: Nakaaya Ft. Dunga — Utu Uzima Dawa