Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchina kujenga bunge mpya Zimbabwe

Kando na ujenzi wa majengo mapya ya bunge la Zimbabwe, Uchina imeahidi pia kujenga mtambo wa kawi ya mvuke

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Uchina kujenga kambi ya kijeshi Djibout

Uchina imethibitisha kwamba itajenga kambi yake ya kwanza ya kijeshi katika taifa la kigeni nchini Djibouti.

 

10 years ago

Habarileo

NSSF kujenga kijiji cha Bunge

SHIRIKA la Hifadhi ya Jamii (NSSF) inakamilisha mchakato wa kuanza ujenzi wa kijiji cha Bunge mjini Dodoma na upanuzi wa ofisi ndogo ya Bunge Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

Wabunge Bunge la SADC wamchagua Mh. Makinda kuwa Rais mpya wa Bunge hilo

Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akisoma hotuba yake ya shukrani kwa wajumbe wa Mkutano wa 36 wa Bunge la SADC ambao ni Maspika na Wabunge kutoka Mabunge ya nchi wanachama wa wa SADC baada ya kuchaguliwa kuwa Rais wa Bunge hilo kwa miaka miwili ijayo Mjini Victoria Falls, Zimbabwe. Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akielekezwa jambo na Katibu Mkuu wa Bunge la SADC Dkt. Esau Chiviya mara baada ya kukalia kiti cha Urais wa Bunge hilo baada ya kuchaguliwa rasmi kuwa rais wa Bunge hilo.Spika wa...

 

9 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete amuapisha Balozi Mpya wa Tanzania nchini Zimbabwe

Balozi mpya wa Tanzania nchini Zimbabwe Luteni Jenerali Charles Lawrence Makakala akila kiapo mbele ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es salaam jana.Hafla hiyo ilihudhuriwa (picha na Freddy Maro)

 

10 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA BANDARI KUJENGA MELI MPYA ZIWA NYASA


 Mkuu wa Bandari ya Kyela, Bw. Percival Ntetema  (Aliyevaa tai) akiwapa maelezo  wajumbe wa Timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo sehemu inapojengwa gati mpya (halionekani) katika Bandari ya Kiwira. Wajumbe wa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango walipata fursa ya kujionea meli pekee inayotoa huduma ya kusafirisha abiria na mizigo (MV Songea) katika Ziwa Nyasa kwa upande wa Tanzania. Wajumbe wa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya...

 

11 years ago

GPL

MANCHESTER CITY INA PLAN YA KUJENGA UWANJA MPYA

Muonekano mpya ya Uwanja unaotarajiwa kujengwa na Mabingwa wa Ligi Kuu ya England ‘Primiership’ 2013/2014, Manchester City . Mabingwa wa Ligi Kuu ya England ‘Primiership’ 2013/2014, Manchester City ina plan ya kujenga Uwanja mpya ambao utakuwa na uwezo wa kuchukua mashabiki zaidi ya 60,000.
Uwanja wanaoutumia sasa hivi wa Etihad unauwezo wa kuingiza watazamaji 47,620. Iwapo Uwanja huo utakamilika,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Filamu mpya kutoka Zimbabwe inakuja hivi karibuni: GRINGO TROUBLEMAKER!

gringo2

Na Andrew Chale,Modewjiblog

[Harare-ZIMBABWE] Filamu mpya iliyojaa vimbwanga vya kila aina kutoka kwa waigizaji mahiri wa nchini hapa ipo mbioni kuingia mtaani na majumba ya sinema mbalimbali.

Kwa mujibu wa mandao  wa Zollywoodzim (http://www.zollywoodzim.co.uk) unaorusha habari za filamu na wasanii mbalimbali wa nchini hapa umeelezea kuwa, filamu  hiyo ni ya kipekee na yenye ubora wa hali ya juu ambao mtazamaji anapokuwa anaitazama ikaweza kumvunja mbavu hadi kupitiliza kwa jinsi ilivyojaa...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AMUAPISHA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI ZIMBABWE LEO IKULU

 Rais Jakaya Kikwete akimuapisha Balozi mpya wa Tanzania nchini Zimbabwe, Luteni Jenerali Charles Lawrence Makakala katika hafla iliyofanyika leo Ijumaa Agosti 21, 2015 Ikulu Jijini Dar es Salaam.    Rais Jakayta Kikwete akimkabidhi nyaraka za kazi Balozi Mpya wa Tanzania nchini Zimbabwe, Luteni Jenerali Charles Lawrence Makakala katika hafla iliyofanyika leo Ijumaa Agosti 21, 2015 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

  Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Balozi Mpya wa Tanzania nchini...

 

11 years ago

GPL

WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTAZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jana Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa jukwaa la katiba juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo.
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.…
...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani