Ufaransa yatoa bil 222/- kwa sekta ya maji
SERIKALI ya Tanzania na serikali ya Ufaransa wametiliana saini mikataba mitatu ya mikopo inayolenga kuisaidia Tanzania katika sekta ya maji na umeme.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo06 Mar
Ufaransa yatoa bil.100/- kwa miji sita
SHIRIKA la Maendeleo la Ufaransa (AFD) limetoa Sh bilioni 100 kwa ajili ya uendelezaji wa miradi ya maji katika miji ya Mwanza, Bukoba na Musoma na miji midogo ya Lamadi, Magu na Misungwi. Waziri wa Fedha, Saada Mkuya na Waziri wa Biashara wa Ufaransa, Nicole Bricq walisaini makubaliano hayo jana jijini Dar es Salaam.
5 years ago
CCM BlogWAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI
Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma
WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MBRTnX6AXik/XuxjvtaWiiI/AAAAAAABMfs/VacXTFivqS8SF3Ta5xBAe4w0BF2h9UoVgCLcBGAsYHQ/s72-c/11.jpg)
NMB YATOA MKOPO WA SHILINGI BIL. 3 KWA WAKULIMA WA MUHOGO HANDENI
![](https://1.bp.blogspot.com/-MBRTnX6AXik/XuxjvtaWiiI/AAAAAAABMfs/VacXTFivqS8SF3Ta5xBAe4w0BF2h9UoVgCLcBGAsYHQ/s400/11.jpg)
Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB, Filbert Mponzi (wa pili kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi Bilioni 3, Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Godwin Gondwe maalumu kwa ajili ya vikundi vya wakulima na wasindikaji wa zao la muhogo wilayani Handeni, mkoani Tanga. Wengine kwenye picha ni Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), Japhet Justin (wa pili kushoto), Mwenyekiti wa Wakulima wa zao hilo nchini, Mwantum Mahiza, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya...
5 years ago
MichuziSEKTA YA MAJI IMEBORESHA HUDUMA BORA KWA WAJASIRIAMALI KISARAWE - JAFFO
Akizungumza na wananchi wa Kisarawe , Jaffo amewataka wananchi wa Kisarawe kulinda miundo mbinu ya maji kwani serikali imetumia gharama kubwa kuweza kufanikisha mradi huo mkubwa wa maji.
Amesema, kiasi...
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Sekta zinazotekeleza BRN zakusanya bil. 215/-
SEKTA zinazotekeleza mfumo wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) zimefanikiwa kukusanya sh bilioni 215 zilizoibuliwa kutoka kwenye maabara za BRN. Kiongozi wa mfumo huo katika Wizara ya Fedha, Emmanuel Tutuba, alibainisha...
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Sekta isiyo rasmi yachangia GEPF bil. 4/-
TANGU kuanzishwa kwa mpango wa uchangiaji wa hiari kwa sekta zisizo rasmi, Mfuko wa Mafao ya Kustaafu (GEPF) umeweza kuchangiwa sh bilioni 4.43 na sekta hiyo. Mkurugenzi wa Masoko wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GU5F3WPPzUI/VRR9roEr2KI/AAAAAAAHNiQ/4MaYP3wfkPs/s72-c/1.jpg)
WATUMISHI WAPYA 222 WA OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI WAASWA KUFANYA KAZI KWA KUJITUMA NA UZALENDO
![](http://2.bp.blogspot.com/-GU5F3WPPzUI/VRR9roEr2KI/AAAAAAAHNiQ/4MaYP3wfkPs/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xDN8HxdYR7A/VRR9rBuGSTI/AAAAAAAHNiM/0n8CDbzBa7k/s1600/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FTOpC39s4-Q/U_Mq3BolFzI/AAAAAAAGAs8/h73eS5whQfQ/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
Sekta ya Elimu yapokea Bil. 203 kutoka Benki ya Dunia
Serikali ya Tanzania imesaini mkataba wa kupokea mkopo nafuu wa shilingi bilioni 203 kutoka Benki ya Dunia kwa ajili ya kuendeleza sekta ya elimu katika mpango wake wa matokeo makubwa sasa(BRN).
Mkataba huo umesainiwa na Katibu mkuu wa wizara ya fedha Dk. Servacus Likwelile huku ukiwashirikisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Elinu na Naibu Katibu Mkuu kutoka TAMISEMI leo jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa hafla hiyo fupi ya kusaini mkataba Katibu Mkuu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pNoX8vioChw/Xk_nlThycaI/AAAAAAALess/xcONPgfkcd0QfLqqbu8kFU-jt6ApqEyhwCLcBGAsYHQ/s72-c/5R7A9709AA-1024x682.jpg)
CCM YATOA SIKU 30 KUKAMILISHWA KWA MRADI WA MAJI KILINDINI – MICHEWENI, KASKAZINI PEMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-pNoX8vioChw/Xk_nlThycaI/AAAAAAALess/xcONPgfkcd0QfLqqbu8kFU-jt6ApqEyhwCLcBGAsYHQ/s640/5R7A9709AA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/5R7A9727AA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/5R7A9763AA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/5R7A9781AA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/5R7A9800AA-1024x682.jpg)
Akiwa katika ziara ya kukagua na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2015 – 2020 katika Mkoa wa Kaskazini Pemba, Wilaya ya Micheweni, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi Ndugu Humphrey Polepole amesema Chama Cha Mapinduzi kimetoa siku 30 kukamilishwa kwa mradi wa maji Wilaya...