UFUSKA BONGO MOVIE WAMKOSESHA DILI NORA
![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbL-TM7wprC6KyCyFwV03nb*yT5z3jaeLcFG7MeABIbrubddKk4MsmialZlNHTjj1crk9QS*aB1dLAZnzu7CpDBL/nora.jpg?width=650)
Stori:GLADNESS MALLYA MWANADADA wa ‘long time’ kwenye sanaa ya uigizaji amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukosa dili za kazi za maana kutokana na tabia za kifuska kwa baadhi ya wasanii wa kike wa Bongo Movie. Msanii Nora. Akipiga stori na paparazi wetu, Nora alisema amekuwa akitembelea katika ofi si mbalimbali na kila anapojitambulisha kwamba ni msanii wa fi lamu watu wanashtuka na sehemu nyingine anakosa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFI4GV0B9fVPm0AWWvSiw7JYXqxk7kKz9SmzhdG*wJ7XiDAi7M44moCZwAYm0BtQbvxo-PXLBQ8WGSgJM0T6tljN/noraa.jpg)
NORA AWABOMOA BONGO MOVIE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S6leBpJ8ovC1fOoG2i-c72Gy3DCURYnvzga95dH4Q1tV8eVYoSZ2JPr70LVPpPfMKcl7SjFUmIr3B*aehdLCpfG9dPRhfmiQ/ufuska.jpg?width=650)
UFUSKA WA MASTAA BONGO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68wUmOKTgHIpJ2gFZH4WYAUSAggsU54Nq-HJ6f0mhVq-q3nHF6KjSk-OZAfcusiyMrfj6arrzcP-PiTGTA4unEwW/BACKWIKIENDA.jpg?width=650)
UFUSKA: VIDEO QUEEN MAARUFU BONGO, MCHEKESHAJI WAJIREKODI WAKIFANYA NGONO!
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha)
Najua nina watu wangu mnaopenda kufahamu magari wanayomiliki mastaa mbalimbali wakiwemo Bongo Movie na Bongo Fleva, sasa hapa nimefanikiwa kupata picha 11 za mastaa wanaomiliki magari makali Dar es Salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK […]
The post Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
Bongo514 Feb
Wasanii wa Bongo Movie wanaishi ‘Ki Bongo Flava’ – Nikki wa Pili
Msanii wa hip hop kutoka Weusi, Nikki wa Pili, ametia neno katika sakata linaloendelea la kupigwa marufuku kwa filamu za nje kwa madai zinaingizwa bila kulipiwa kodi hali ambayo imesababisha kuwa nyingi na kuzinyima filamu za ndani nafasi ya kufanya vizuri sokoni.
Hatua hiyo imekuja baada ya siku ya Jumatano wiki hii baadhi ya wasanii wa filamu nchini kuandamana wakiwa na Mkuu wa Mkoa Dar es salaam, Paul Makonda, kupinga filamu hizo ambapo RC huyo alipiga marufuku filamu hizo huku akitaka...
10 years ago
Bongo Movies10 Feb
Lulu Asema Wasanii Wengi wa Bongo Movie Hawajieliwi, Tofauti na Bongo Fleva
Mrembo na muigizaji wa filamu za kibongo, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ amesema wasanii wengi wa filamu hawana mawazo ya maana na hawafikiriimambo makubwa kuhusu wanachokifanya. Bali hufanya tu kwa sababu wapo katika jamii na ahahisi wale wa bongo fleva wanafikiri zaidi yao
“ Unawaza kwanza kIsha unatenda, wasanii wa filamu hatuna mawazo mazuri zaidi ya ubishoo tu, hatuoni mbali hatuna wivu wa kimaendeleo leo unakuta msanii wa Bongo Fleva wanatoka nnje na wanarudi na tuzo lakini sisi tumekaa...
10 years ago
Bongo Movies19 Jun
Nora: Bongo Movies Wameshaharibu Sanaa ya Uigizaji Tanzania
MWIGIZAJI mkongwe Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ amedai kuwa ‘Bongo Movies’ wameharibu sanaa ya uigizaji hapa Tanzania. Nora amefunguka hayo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu akiwa lokesheni wakishuti movie.
"Naipenda kazi yangu na ninaiheshim sanaaaaa hii ndo sanaa ilionikuza mpaka leo na bado nakua nayo Mungu afungue heri zake lol tunajua kukomaaa ila nais Mungu ndo ameandika.
Nitatumia kipaji changu akili yangu kuwatumikia...