Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uganda yaibeba Afrika Mashariki

Tayari jumla ya timu 20 za Afrika ambazo zimetinga raundi ya tatu ambayo ni hatua ya mwisho ya kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika Russia mwaka 2018.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI DAR KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI

Na Bakari Issa,Dar es Salaam
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....

 

10 years ago

Bongo5

Director Godfather wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 7 Afrika Mashariki na crew yake

Muongozaji wa video, Godfather kutoka Afrika Kusini ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Tanzania wakiwemo Diamond, Ommy Dimpoz, Alikiba, Linah na wengine, anatarajia kufanya ziara ya Afrika mashariki akiwa na crew yake. Katika ziara hiyo ya siku saba itakayoanza mwisho wa mwezi huu wa nne, Godfather amesema atakuwa tayari kufanya video na wasanii wa […]

 

10 years ago

Michuzi

Makamu Mwenyekiti wa UVCCM achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Afrika Kanda ya Afrika Mashariki

 Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM),Mboni Mhita (katikati) akizungumza na waandishi (hawapo pichani) pamoja na baadhi ya vijana wa Mkoa wa Dar es salaam leo,juu ushindi wake alioupata katika Uchaguzi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana Barani Afrika,ambapo yeye amechaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja huo kwa upande wa Afrika Mashariki.Uchaguzi huo ulifanyika Mwishoni mwa mwezi uliopita katika Jiji la Johannesburg,nchini Afrika Kusini.Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa Kiswahili Afrika Mashariki

Katika makala iliyotangulia nilieleza juu ya juhudi za nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zilivyojitahidi kuendeleza lugha ya Kiswahili, ili iwe na taswira ya utangamano kwa wananchi wa nchi hizi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mkapa aiasa Afrika Mashariki

>Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, amewataka wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), kuacha kuoneana haya kwenye vikao vyao, badala yake waulizane yanayotokea kwenye nchi zao ili kuiepusha jumuiya na mauaji mengine ya kimbari kama ilivyotokea nchini Rwanda mwaka 1994.

 

11 years ago

BBCSwahili

Usalama wadhibitiwa Afrika Mashariki

Usalama umedhibitiwa vikali kanda ya Afrika Mashariki kufuatia tisho kutoka kwa kundi la wanamgambo wa kiisilamu wa Al Shabaab kushambulia nchi zenye wanajeshi wao Somalia

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanafaunzi wa Afrika mashariki Beijing

Katika mfululizo wetu wa kuzungumza na raia kutoka Afrika Mashariki walioko China, leo hii John Nene anazungumza na Stephen Kizito

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Hali si shwari Afrika Mashariki’

RAIS wa Chama cha Wanasheria Afrika Mashariki (EALS), James Mwamu, amesema kitendo cha nchi za Kenya, Uganda na Rwanda kuanza kutekeleza miradi  yao bila kuzishirikisha Tanzania na Burundi inadhihirisha  kuna...

 

9 years ago

Mwananchi

Tanzania kibonde Afrika Mashariki

Licha ya kupanda kwa nafasi nne na kuwa ya 136 katika ripoti ya viwango vya Fifa vilivyotolewa leo, Tanzania inashika nafasi ya mwisho kwa ubora wa soka katika Ukanda wa Afrika Mashariki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani