Uhamiaji: Tulimkamata Ndambile kimakosa
IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Dar es Salaam imesema mmiliki wa Kampuni ya Ulinzi ya Advance Security, Juma Ndambile alikamatwa kimakosa kwa tuhuma za kuwaingiza nchini na kuwahifadhi makomandoo wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMaelezo ya Mwanasheria wa Uhamiaji kuhusu sheria mpya za uhamiaji nchini Marekani
Mwanasheria wa uhamiaji Fatmata Barrie akizungumza na wanaDMV kwenye mkesha wa mwaka mpyaKatika mkesha wa mwaka mpya (2014-2015), Jumuiya ya waTanzania waishio Washington DC, Maryland na Virginia , kulikuwa na matukio mbalimbali.
Moja wapo lilikuwa ni maelezo ya mwanasheria wa uhamiaji Fatmata Barrie kuhusu maamuzi mapya ya serikali ya Marekani kwenye sheria za uhamiaji.
Karibu umsikilize
Moja wapo lilikuwa ni maelezo ya mwanasheria wa uhamiaji Fatmata Barrie kuhusu maamuzi mapya ya serikali ya Marekani kwenye sheria za uhamiaji.
Karibu umsikilize
10 years ago
MichuziIdara ya Uhamiaji yaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
IDARA ya Uhamiaji nchini,Imesema inaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini na kuwataka wananchi waendelee kutoa taarifa za wahamiaji haramu na hatua zinachukuliwa dhidi ya wahamiaji hao.
Hayo ameyasema,Naibu Kamishina wa Idara ya Uhamiaji na Msemaji wa Mkuu wa Idara hiyo,Abbas Irovya ,amesema idara ya uhamiaji inaendelea kupambana na wahamiaji haramu na kufanya uhamiaji haramu kupungua.
Irovya amesema kuwa kuna gazeti moja la wiki jina tunalihifadhi...
IDARA ya Uhamiaji nchini,Imesema inaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini na kuwataka wananchi waendelee kutoa taarifa za wahamiaji haramu na hatua zinachukuliwa dhidi ya wahamiaji hao.
Hayo ameyasema,Naibu Kamishina wa Idara ya Uhamiaji na Msemaji wa Mkuu wa Idara hiyo,Abbas Irovya ,amesema idara ya uhamiaji inaendelea kupambana na wahamiaji haramu na kufanya uhamiaji haramu kupungua.
Irovya amesema kuwa kuna gazeti moja la wiki jina tunalihifadhi...
9 years ago
TheCitizen03 Jan
Local non-title fights will ruin Cheka’s career, says Ndambile
Tanzania’s famous professional boxer Francis Cheka has been urged to abandon local non-title bouts and focus on international fights to upgrade his standard.
11 years ago
Michuzi29 Jul
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Marekani ilishambulia kliniki 'kimakosa'
Ndege ya kijeshi ya Marekani iliishambulia kliniki moja ya shirika la madaktari wasio na mipaka MSF katika mji wa Afghanistan wa Kunduz
10 years ago
BBCSwahili28 May
Marekani:Jeshi latuma Kimeta kimakosa
Maabara moja ya kijeshi huko Utah imetuma zana hatari za kibayolojia za kimeta kwa kambi 9 za kijeshi na Korea Kusini
11 years ago
Habarileo30 Apr
Wakili: Kesi ya Mwale ilifunguliwa kimakosa
UPANDE wa utetezi kwenye kesi ya wakili maarufu jijini hapa, Median Mwale na wenzake watatu ya kutakatisha fedha haramu, umedai mashitaka hayo dhidi ya washitakiwa, yalifunguliwa kimakosa kabla ya sheria iliyowashitaki kutungwa.
10 years ago
BBCSwahili26 Aug
Wanajeshi wa Urusi walikuwa Ukraine kimakosa
Maafisa wa Serikali ya Urusi wamesema kuwa wanajeshi wao walikuwa wamevuka mpaka wa Ukraine kimakosa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania