Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uingereza wanawake wachapa Ukraine 4-0

Katika soka ya wanawake kufuzu kwa kombe la dunia Uingereza imeichapa Ukrain 4 kwa sufuri ikiwa ni ushindi wa mara sita.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Wananchi waaswa kuchagua viongozi wachapa kazi

Na Sudi Shaaban,

Mwanza.

 

Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza kimewataka wananchi kuwa makini kuepuka watakaotaka uongozi kwa kutoa rushwa na badala yake wachague viongozi ambao watakuwa na weledi na wachapa kazi katika taifa.

 

Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu watu mbalimbali wanatajwa kujitokeza kuwania nafasi za uongozi baadhi yao wakijipanga kupata kura kwa kuwalaghai wananchi jambo ambalo ni kinyume na taratibu za uchaguzi.

 

Baadhi ya wananchi wanatajwa kuwa mstari wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maaskofu wanawake kutawazwa Uingereza

Kanisa la England linatarajiwa kupititsha rasmi sheria itakayo waruhusu maaskofu wa kike kuteuliwa kwanzia mwaka ujao.

 

10 years ago

GPL

WANAWAKE WAPIGA PICHA ZA UTUPU KUCHANGISHA FEDHA UINGEREZA

Wanawake wakiwa katika pozi kwa ajili ya kuchangiha fedha za East Anglian Air Ambulance. ...Wakipozi na vifaa vya kuendeshea farasi. KUNDI la wanawake wenye umri kati ya miaka 19 mpaka…

 

5 years ago

CCM Blog

LIGI YA SOKA YA WANAWAKE NCHINI UINGEREZA KUANZA KUTIMUA VUMBI MEI 29

  Ligi ya soka ya wanawake nchini Ujerumani inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Mei 29, lakini bila ya mashabiki. Shirikisho la soka la Ujerumani, DFB limetangaza hatua hiyo jana baada ya ligi hiyo kusimamishwa kwa takriban miezi mitatu kutokana na janga la virusi vya corona.
Ligi ya wanaume ilirejea wiki iliyopita, pia bila ya mashabiki uwanjani na chini ya vizuizi vikali vya kiafya vilivyotengenezwa kwa lengo la kupunguza kusambaa kwa maambukizi.

 Rais wa DFB Fritz Keller ameeleza kufurahishwa...

 

5 years ago

Michuzi

WANAWAKE TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA (TCDC) WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI


Picha ya Pamoja ya Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa tayari kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Jijini Dodoma
 Picha ya Pamoja ya Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa tayari kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Jijini Dodoma
Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa na Bango la maandamano lenye Kauli mbiu ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa katika maandamano...

 

5 years ago

Michuzi

DC MBONEKO AONGOZA MAMIA YA WANAWAKE KONGAMANO LA WANAWAKE 'SHINYANGA WOMEN'S DAY OUT'

Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko akizungumza kwenye Kongamano la wanawake "Shinyanga Women's Day Out" lililoandaliwa na kikundi cha wanawake na mabadiliko Women for Change kutoka Shinyanga mjini leo Jumamosi Machi 7,2020. Picha zote na Marco Maduhu - Malunde 1 blog
Waandaaji wa Kongamano la Shinyanga Women's Day Out wakiwa ukumbini.Wanawake wakiwa kwenye Kongamano la Shinyanga Women's Day Out.
Meza Kuu 'VIP' wakiwa kwenye Kongamano la Shinyanga Women's Day Out.Awali Mkuu wa wilaya...

 

10 years ago

GPL

WANAWAKE WA MCD WASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA AINA YAKE

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa (MSD), Bw. Cosmas Mwaifani akifungua sherehe za Siku ya wanawake Duniani.…

 

10 years ago

Michuzi

Wanawake Wizara ya Mambo ya Nje washiriki Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.

Wanawake wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wameungana na Wanawake wengine duniani kote katika kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani, iliyofanyika katika Viwanja vya Mnazi mmoja, Jijini Dar es Salaam. Mgeni rasmi kwenye maadhimisho hayo alikuwa ni Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Salma Kikwete. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni "UWEZESHAJi WANAWAKE TEKELEZA WAKATI NI SASA"
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani