Ujenzi wa kiwanda kukuza kilimo cha Mkonge Tanga
KATIKA kuhakikisha mkonge unamnufaisha mkulima, serikali imeanza mikakati ya kuendeleza zao hilo. Miongoni mwa mikakati hiyo ni kuongeza uzalishaji wa bidhaa bora zitokanazo na zao hilo kutoka asilimia 2 za...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV11 Nov
Mwinyi azindua kiwanda cha  zana za kilimo, ujenzi
Rais mstaafu wa awamu ya Pili Ally Hassan Mwinyi amezindua kiwanda cha kuuza dhana bora za kilimo na ujenzi zitakazokuwa zinauzwa hapa nchini kwenye Kiwanda cha AVIC-SHANTUI Tanzania Limited kitakachomilikiwa na ndugu na rafiki wa muda mrefu wa Tanzania kutoka China.
Matarajio ya baadaye ya Kiwanda hicho ni kuzalisha bidhaa hapa hapa nchini kwa kutumia chuma kutengeneza dhana mbalimbali za Kilimo pamoja na vifaa vya ujenzi hali itakayochangia kukuza uchumi wa Taifa.
Rais Mwinyi amewataka...
5 years ago
MichuziWAZIRI WA KILIMO JAPHET HASUNGA ATEMBELEA KIWANDA CHA MBOLEA CHA MINJINGU MKOANI MANYARA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-d-1-E8YrF6c/U43WSLbVgXI/AAAAAAAFnYY/4ReeNUAbjW0/s72-c/1.jpg)
WAZIRI WA ULINZI AZINDUA KIWANDA CHA KUTENGENEZA VIFAA VYA UJENZI CHA UTURUKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-d-1-E8YrF6c/U43WSLbVgXI/AAAAAAAFnYY/4ReeNUAbjW0/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1tjrqbHh3g4/U43Whfc8tvI/AAAAAAAFnYg/EephneFTKaI/s1600/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C9siA1Na5xE/Xt0O0JI5_wI/AAAAAAALs7E/pC6m0rySm4E3F8y5jGrgG6q63LAB2FRgwCLcBGAsYHQ/s72-c/876014bc-9c06-4403-834c-46125166bcde.jpg)
WAZIRI MHAGAMA APONGEZA MAFANIKIO YALIYOFIKIWA KATIKA UJENZI KIWANDA CHA BIDHAA ZA NGOZI CHA KARANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-C9siA1Na5xE/Xt0O0JI5_wI/AAAAAAALs7E/pC6m0rySm4E3F8y5jGrgG6q63LAB2FRgwCLcBGAsYHQ/s640/876014bc-9c06-4403-834c-46125166bcde.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Wakulima wa chai Tanga walilia kiwanda cha Mponde
KUTOKANA na wakulima wa chai wilayani Lushoto kukosa sehemu ya kuuza zao lao hilo kwa kipindi cha mwaka mmoja sasa wameamua kutafuta njia za kisheria zaidi. Kiwanda walichokuwa wanakitegemea kuuza...
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Kamati ya fedha, biashara na kilimo ya baraza la wawakilishi Zanzibar yatembelea kiwanda cha Sukari Mahonda
Muonekano wa Kiwanda cha Sukari Mahonda kilivyo hivi sasa.
Mshauri muelekezi wa Kiwanda cha Sukari Mahonda Dk. Hamza Hussein Sabri (alie simama) akitoa maelezo na changamoto wanazozipata Kiwandani hapo, kwa Kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza la wawakilishi walipoenda kutembelea Kiwanda hapo.
Makamo Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza la wawakilishi Hija Hassan Hija akizunguza na uongozi wa Kiwanda cha Sukari na viongozi wa Wizara ya Biashara, Viwanda na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pA-lQqd-nRQ/Xrr4cfzSb-I/AAAAAAALp-g/rPuNjYMdCmU15EQ3_D5_gFCdbJeAt8yzACLcBGAsYHQ/s72-c/8d0703c6-698b-4ef3-bf3f-4956c4121950.jpg)
KAIMU MSAJILI BODI YA NYAMA TANZANIA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KIWANDA KIKUBWA CHA NYAMA CHA TANCHOICE
KAIMU Msajili Bodi Ya Nyama Tanzania Iman Sichalwe amefanya ziara ya kuangalia maendeleo ya ujenzi wa kiwanda kikubwa cha nyama cha Tanchoice Soga kibaha mkoani Pwani.
Kiwanda hicho ni kikubwa Afrika Mashariki na Kati kwenye Sekta ya mifugo na kutajwa kuwa mkombozi mkubwa kwa wadau wa sekta ya nyama Nchini Ambapo kitakuwa na uwezo wa kuchinja ng'ombe 1000 na mbuzi 4500 kwa siku.
Akiwa kiwandani haoo baada ya kufanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa kiwanda hicho,...
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA KILIMO AZINDUA KIWANDA KIPYA CHA KUZALISHA MBEGU BORA ZA MAHINDI JIJINI ARUSHA
Uzinduzi huo uliongozwa na Naibu Waziri wa Kilimo na Chakula Godifrey Zambi ambaye alifungua rasmi kiwanda hicho ,Amesema kuwa tasnia ya mbegu ni tasnia muhimu katika ukuaji wa sekta ya kilimo hiyo amewataka wazalishaji mbegu kuongeza tija ili kukuza kilimo.
Ameeleza kuwa kampuni hiyo imetimiza matakwa ya serikali...
10 years ago
CloudsFM27 Nov
BILIONEA DANGOTE AKAGUA UJENZI WA KIWANDA CHAKE CHA SARUJI MTWARA
Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Viwanda vya Dangote (Dangote Industries Group), mfanyabiashara maarufu Afrika, Alhaji Aliko Dangote akitumia gari kukagua maendeleo ya ujenzi wa kiwanda chake kikubwa cha saruji katika Kijiji cha Msijute, mkoani Mtwara leo.
Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Viwanda vya Dangote (Dangote Industries Group), mfanyabiashara maarufu Afrika, Alhaji Aliko Dangote (kushoto) akizungumza na Mwakilishi Mkazi wa Dangote nchini, Esther Baruti kwenye Uwanja wa Ndege...