Ujumbe wa Algeria waridhika na ziara ya Tanzania
UJUMBE wa Algeria uliowasili nchini tangu wiki iliyopita, umeeleza kuwa umejifunza mambo mengi katika sekta ya madini kutokana na ziara waliyoifanya. Mkurugenzi Mkuu wa Nishati katika Wizara ya Nishati na Migodi wa Algeria, Bourraondj Mohamed Tawar alisema hayo jana wakati wakihitimisha ziara yao nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi
UJUMBE WA SHIRIKA LA NYUMBA UGANDA WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO NHC TANZANIA

10 years ago
Vijimambo
RAIS KIKWETE AHITIMISHA ZIARA RASMI YA ALGERIA, AREJEA NYUMBAN



10 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE AHITIMISHA ZIARA RASMI YA ALGERIA, AREJEA NYUMBANI



10 years ago
GPL
RAIS KIKWETE AHITIMISHA ZIARA YAKE ALGERIA, AREJEA NCHINI
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipanda ndege katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Houari Boumediene jijini Algiers Jumatatu ya Mei 11, 2015 baada ya kuhitimisha ziara yake rasmi ya siku tatu nchini humo. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiaga wenyeji wake katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Houari Boumediene jijini Algiers Jumatatu Mei 11, 2015 baada ya kuhitimisha ziara yake rasmi ya siku tatu nchini humo.… ...
10 years ago
Michuzi10 May
10 years ago
Vijimambo10 May
10 years ago
Dewji Blog10 May
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania