Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UJUMBE WA KAMPUNI YA MAHINDRA & MAHINDRA WAKUTANA NA RAIS SHEIN ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein akizungumza na Ujumbe wa Kampuni ya Mahindra&Mahindra Ltd,kutoka India ulipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi.ujumbe huo unaoongozwa Bw.Sanjay Jadhar, ulifanya mazungumzo na Rais. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Bw.Sanjay Jadhar, Kiongozi wa Ujumbe wa Kampuni ya Mahindra&Mahindra Ltd,kutoka India walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

DKT. SHEIN ATEMBELEA KIWANDA CHA MAHINDRA&MAHINDRA LTD MUMBAI, INDIA

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akipokea shada la maua na kusalimiana na Mkurugenzi Mkuu na Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kimataifa ya Mahindra& MahindraLtd,Bw.Ruzbeh Irani,wakati alipowasili katika Makamo Makuu ya Kiwanda kinachotengeneza Matrekta cha Mahindra & Mahindra Ltd Mumbai Nchni India   Baadhi ya watendaji katika kampuni ya Mahindra&Mahindra Ltd wakiwa katika mkutano uliowajumuisha watendaji wa kampuni hiyo na Ujumbe wa Rais wa...

 

11 years ago

Michuzi

Ujumbe wa IFAD wakutana na Rais wa Zanzibar,Dkt. Shein

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Dr.Yaya Olaniran,Kiongozi Ujumbe wa Bodi tendaji ya Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) ulipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi na kufanya mazungumzo na Rais. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Bw.Rasit Peter (kushoto) baada ya mazungumzo na Ujumbe wa Bodi tendaji ya Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD)...

 

10 years ago

Michuzi

UJUMBE WA TAASISI ZA UMOJA WA MATAIFA NCHINI WAKUTANA NA DKT. SHEIN,IKULU ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mweenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa Tanzania Alvaro Rodriguez akiongoza ujumbe wa Wakuu wa Taasisi za Umoja wa Mataifa wenye Ofisi zao Nchini Tanzania walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kuonana na Rais. Rais wa Zanzibar na Mweenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Ujumbe wa Wakuu wa Taasisi za Umoja wa Mataifa wenye Ofisi zao Nchini Tanzania walipofika...

 

11 years ago

GPL

JOLLY ENTERPRISES WAZINDUA SHOW ROOM MPYA NA GARI AINA YA MAHINDRA XUV 500

Viongozi wa Kampuni ya Mahindra
Mgeni rasmi Mh.Raymond Mushi akikata utepe
Mgeni rasmi akioneshwa gari aina ya Mahindra X UV 500…

 

10 years ago

Vijimambo

WACHEZAJI WA ZAMANI WA BARCELONA WAKUTANA NA RAIS SHEIN IKULU ZANZIBAR

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Mhe Dk Mwinyihaji Makame akisalimiana na Nyota wa timu ya Barcelona na Rais wa Heshima wa Timu hiyo Johan Cruyff, walipowasili Ikulu Zanzibar kusalimiana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, ni mwenyeji wao aliowaalika kutembelea Zanzibar kujionea vipaji vya wachezaji wa timu ndogo za Zanzibar.Wachezaji Nyota wa Zamani wa Timu ya Barcelona wakisalimiana na Waziri Mwinyihaji walipowasili Ikulu Zanzibar kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS DR. SHEIN AZUNGUMUZA NA UJUMBE WA TRA ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya TRA Benard S.Mchonvu wakati alipoongoza ujumbe wa Bodi hiyo leo walipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa mazungumzo na RaisRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na ujumbe wa Bodi TRA ulipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa mazungumzo na Rais leo asubuhi ukiongoza na Mwenyekiti wake Benard S.Mchonvu (wa tatu kushoto)Rais wa Zanzibar na...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AONGOZA DUA YA KUMUOMBEA RAIS WA KWANZA WA ZANZIBAR MAREHEMU MZEE ABEID AMANI KARUME ILIOFANYIKA VIWANJA VYA AFISI KUU YA CCM ZANZIBAR

VIONGOZI wa Madhehemu  (kushoto) Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Zanzibar. Hafidh Michael na Kiongozi wa Madhehebu ya Hindu Zanzibar. Pramuk  Yoges  wakielekea katika eneo la kaburi la Marehemu Mzee Abeid Amani Karume, kwa ajili ya  kumuombea dua iliofanyika leo katika kaburi la marehemu viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui.RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihudhuria hafla ya dua ya kumuombea Marehemu Mzee Abeid Amani...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR IKULU



RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, katika mkutano wa uwasilishaji wa Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Ofisi hiyo kwa kipindi cha mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Jijini ZanzibarWAZIRI...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani