UJUMBE WA MAREKANI WATEMBELEA WIZARA YA MAMBO YA NJE
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Rajabu Gamaha (katikati) akizungumza na ujumbe wa wafanyabiashara na Mabalozi wa Heshima wa Tanzania nchini Marekani uliokuja kumtembelea Ofisini kwake. Ujumbe huo uliongozwa na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kampuni ya TANAS Energy Group ya Marekani, Bw. William Crawford wa kwanza kulia kwa Kaimu Katibu Mkuu upo nchini kwa madhumuni ya kuangalia fursa za uwekezaji na vivutio vya utalii.
Ujumbe wa Marekani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo21 Jan
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje akutana na Ujumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Italia
10 years ago
Vijimambo31 Mar
Ujumbe kutoka Chuo cha Kijeshi cha Nigeria watembelea Wizara ya Mambo ya Nje
10 years ago
VijimamboUjumbe wa Maafisa Waandamizi kutoka Nigeria watembelea Wizara ya Mambo
9 years ago
MichuziNAIBU KAMISHNA MKUU WA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) NA UJUMBE WAKE WATEMBELEA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
10 years ago
VijimamboMHE. BALOZI LIBERATA MULAMULA AAGWA NA WIZARA YA MAMBO YA NJE YA MAREKANI.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-XxcxtxhziWY/Vea1kRkiudI/AAAAAAAD55g/d1atzkHW48A/s72-c/0dac06c9d8cc9000d2e02779ef469d8e.jpg)
WIZARA YA MAMBO YA NJE YA MAREKANI YAMUAGA BALOZI AMINA SALUM ALI
![](http://4.bp.blogspot.com/-XxcxtxhziWY/Vea1kRkiudI/AAAAAAAD55g/d1atzkHW48A/s640/0dac06c9d8cc9000d2e02779ef469d8e.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fiZ4ZL2Newo/Vea1keH3LMI/AAAAAAAD55c/2K88YzK-vao/s640/3f4a5ec14b824e3f8bb17a189e2ed46d.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-p1i2fiXwMio/Vea1kdyULPI/AAAAAAAD55Y/ZSDoQ6BYGSY/s640/34a9d58063ccce4ea027ac27f2558e4f.jpg)
10 years ago
MichuziMaafisa Wakuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa cha Afrika Kusini watembelea Wizara ya Mambo ya Nje
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MUUNGANO WA VISIWA VYA COMORO ATEMBELEA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA MATAIFA
5 years ago
BBCSwahili27 May
Virusi vya corona: Wizara ya Mambo ya Nje Tanzania yafanya mazungumzo na Kaimu balozi wa Marekani