Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukatili wazi wazi CAR

Katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, Waislamu wengi wanatoroka makao yao kutokana na hofu ya vita dhidi yao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Posho tulidai wazi, kura iwe wazi’

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ahmed Masoud Jongo amewataka wajumbe wasiogope kupiga kura za wazi kama walivyokuwa wakidai nyongeza ya posho hadharani.  Alitoa kauli hiyo juzi jioni alipokuwa akichangia...

 

9 years ago

Vijimambo

11 years ago

Mwananchi

Siri za wazi ni utupu?

Sijui kwa nini napata picha kwamba watu wanakosa imani katika nchi yetu ya amani. Ni kama kule baharini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Acheni ubozi wa kura za wazi

KELELE za kura ya siri au ya wazi zilizofanywa na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kwa wiki nzima mjini Dodoma ni kielelezo cha ubozi. Kura ni haki ya mtu....

 

9 years ago

Habarileo

JK: Kuweni wazi na fedha za wafadhili

RAIS Jakaya Kikwete amezitaka asasi za kiraia kuweka wazi fedha wanazozipata kutoka kwa wafadhili na namna wanavyozitumia, na wanapotakiwa na Serikali kutoa taarifa hizo wasione kama wanaingiliwa utendaji wao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Guardiola kuweka wazi hatima

Mkufunzi mkuu wa Bayern Munich Pep Guardiola anasema kuwa ataelezea "wazi" kuhusiana na mustakabali wake ligi ya Bundesliga juma lijalo.

 

10 years ago

Dewji Blog

NGO’s yaendesha mahakama ya wazi

23

Jenerali Ulimwengu ambaye ndiye mwezeshaji  akiendelea kutoa Mwongozo katika mkutano wa siku mbili juu ya mabadiliko ya Tabianchi, uhakika wa Chakula na haki za Ardhi mkutano ulioandaliwa na Oxfam pamoja na Forum CC.

Na Mwandishi wetu

MTANDAO wa Asasi zisizo za Kiserikali zinazojishughulisha na masuala ya mabadiliko ya tabia ya nchi (ForumCC) kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Oxfam, zimeendesha mahakama ya wazi kwa lengo la  kufikisha ujumbe na kuonyesha tatizo hilo lilivyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kura ya wazi, siri ruksa

UONGOZI wa Bunge Maalumu la Katiba umekubali kuondoa mapendekezo mapya ya marekebisho katika baadhi ya kanuni na badala yake umependekeza kutumika kwa kura za aina zote mbili za wazi au...

 

11 years ago

Habarileo

Kura ya siri, wazi kiporo

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijadiliana jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd (kushoto) kabla ya kuanza kwa semina ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma jana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).BADO MUAFAKA! Ndivyo ilivyojidhihirisha jana kwenye Bunge Maalum la Katiba, ambalo limeshindwa kufikia makubaliano ya kura gani, itumike wakati wa kupitisha uamuzi wa ibara za rasimu ya Katiba mpya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani