Acheni ubozi wa kura za wazi
KELELE za kura ya siri au ya wazi zilizofanywa na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kwa wiki nzima mjini Dodoma ni kielelezo cha ubozi. Kura ni haki ya mtu....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
‘Posho tulidai wazi, kura iwe wazi’
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ahmed Masoud Jongo amewataka wajumbe wasiogope kupiga kura za wazi kama walivyokuwa wakidai nyongeza ya posho hadharani. Alitoa kauli hiyo juzi jioni alipokuwa akichangia...
11 years ago
Habarileo11 Mar
Kura za siri,wazi kiporo
BADO MUAFAKA! Ndivyo ilivyojidhihirisha jana kwenye Bunge Maalum la Katiba, ambalo limeshindwa kufikia makubaliano ya kura gani, itumike wakati wa kupitisha uamuzi wa ibara za rasimu ya Katiba mpya. Kura inayobishaniwa na wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ni kama iwe ya siri au wazi, jambo lililogawa Bunge hilo katika makundi mawili, yanayotofautiana kuhusu namna gani uamuzi ufanyike ndani ya Bunge hilo.
11 years ago
Habarileo11 Mar
Kura ya siri, wazi kiporo
BADO MUAFAKA! Ndivyo ilivyojidhihirisha jana kwenye Bunge Maalum la Katiba, ambalo limeshindwa kufikia makubaliano ya kura gani, itumike wakati wa kupitisha uamuzi wa ibara za rasimu ya Katiba mpya.
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Akitanda atetea kura ya wazi
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Kura ya wazi, siri ruksa
UONGOZI wa Bunge Maalumu la Katiba umekubali kuondoa mapendekezo mapya ya marekebisho katika baadhi ya kanuni na badala yake umependekeza kutumika kwa kura za aina zote mbili za wazi au...
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Kura ya siri, wazi bado moto
MBUNGE wa Kisarawe, Selemani Jafo (CCM), amependekeza watoto watumike kuamua aina gani ya kura itumiwe na Bunge Maalumu la Katiba katika kufanya uamuzi. Hatua hiyo ni kutokana na utata ambao...
11 years ago
Habarileo29 Mar
Kura ya siri, wazi kutumika pamoja
HATIMAYE Bunge Maalumu la Katiba limemaliza mvutano wa Kanuni, hasa kuhusu kura ya wazi au ya siri katika kufanya uamuzi wa kupitisha ibara na sura za rasimu ya Katiba, kwa kuamua kura zote zitumike kwa kadri mjumbe mmoja mmoja atakavyoona inafaa. Uamuzi huo uliamuliwa kwa kupiga kura ya wazi na siri na matokeo yalikuwa:
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Mjumbe alazimishwa kupiga kura ya wazi
WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiendelea kumwandama kwa kejeli Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, mmoja wa makamishna wa tume hiyo naye ameonja ‘joto ya jiwe’...
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Zitto aungana na CCM kutaka kura ya wazi
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), ameunga mkono msimamo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kuwataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupiga kura ya wazi katika kufanya uamuzi....