Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa ni gumzo

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

HATUA ya vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutangaza kuungana imepokewa kwa hisia tofauti na watu wa kada mbalimbali ambapo baadhi yao wamepongeza na kutoa angalizo kwa viongozi wake.

Vyama hivyo vilisaini maazimio saba juzi jijini Dar es Salaam yatakayoviongoza kuelekea katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika mwaka huu pamoja na Uchaguzi Mkuu mwakani.

Akitangaza makubaliano ya umoja huo ambao unaundwa na vyama vya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

CCM, Ukawa gumzo

Mazungumzo kuhusu siasa na hasa Uchaguzi Mkuu, idadi ya watu waliojitokeza kujiandikisha kupiga kura na idadi kubwa ya watu wanaojitokeza kwenye mikutano ya hadhara ya wanasiasa ndiyo hali iliyoenea kila kona ya nchi kwa sasa, kitu ambacho wachambuzi waliohojiwa na gazeti hili wamekielezea kuwa ni kuongezeka kwa mwamko wa wananchi katika masuala ya siasa.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa gumzo Kamati Kuu CCM

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), jana ulikuwa gumzo katika kikao cha Kamati Kuu (CC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM) mjini hapa.

 

10 years ago

Michuzi

UPDATES YA UKAWA USIKU HUU: MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA

Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA umesema kuwa mgombea wao wa Urais watamtoa baada ya siku saba.
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao  wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu  kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani