Ukumbi bunge la Katiba sasa wakamilika
Matengenezo yaliyotarajiwa ndani ya ukumbi wa bunge la Muungano ambao ndio utakaotumika kwa bunge la Katiba, yamekamilika na sasa ukumbi huo uko tayari kwa kazi inayotarajia kuanza Februari 18 mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-J7TyexRp0RY/UviSjsMHrHI/AAAAAAAFMDE/xs4iWf62rJE/s72-c/1.jpg)
UKUMBI WA BUNGE LA KATIBA: Sekretarieti ya Bunge la Katiba kukabidhiwa Ukumbi Jumatano
![](http://2.bp.blogspot.com/-J7TyexRp0RY/UviSjsMHrHI/AAAAAAAFMDE/xs4iWf62rJE/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-o5sZn-mfKy8/UviSkzUUgII/AAAAAAAFMDY/kBeYxCxYVLA/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AV9UXPlH8_A/UviSl8oAIjI/AAAAAAAFMDk/Zlh5ap4Atqo/s1600/3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZX4dS8cVOrk/Uu4WUmxeBiI/AAAAAAAFKPM/zowpvuNUkP8/s72-c/unnamed+(7).jpg)
Ufungaji wa viti kwa matumizi ya Bunge la Katiba wakamilika
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZX4dS8cVOrk/Uu4WUmxeBiI/AAAAAAAFKPM/zowpvuNUkP8/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n8luj-0C2B0/Uu4WUxbEuYI/AAAAAAAFKPY/Lt_dGa2B_IU/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B5eY0SNPh0w/Uu4WU_o82aI/AAAAAAAFKPQ/2g6L2oBFd7s/s1600/unnamed+(9).jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Yaliyojiri Bunge Maalum la Katiba baada ya Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar kutolewa nje ya ukumbi wa Bunge!
Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman akipiga kura leo kwenye ukumbi wa Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma kupitisha Sura na Ibara za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Yahya Kassim Issa akiomba mwongozo leo Bungeni kwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta kuhusu kitendo cha Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman kuja kupiga kura na kukataa baadhi ya Ibara za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa wakati...
11 years ago
Habarileo11 Feb
Lukuvi aridhika Ukumbi wa Bunge la Katiba
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi jana alitembelea ukumbi wa Bunge maalum la Katiba, linalotarajia kuanza Februari 18, mwaka huu na kujiridhisha na marekebisho ambayo yamefanyika.
11 years ago
MichuziTASWIRA KUTOKA UKUMBI WA BUNGE LA KATIBA MJINI DODOMA LEO
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Madaraka ya Bunge sasa, katika Rasimu ya Katiba Mpya na Katiba inayopendekezwa
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Kingunge ataka wanaomshambulia Warioba Bunge la #Katiba sasa ‘waufyate’ [VIDEO]
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Mwenyekiti Bunge la #Katiba tayari, kazi sasa kuanza rasmi? [VIDEO]