UNESCO yawakutanisha wadau kujadili amani uchaguzi mkuu
Katibu Mkuu wa Baraza la Mahedhebu kwaajili ya Amani,Mchungaji,Canon Thomas Godda akizungumza katika kongamano la Amani lililoandaliwa na shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu,Sayansi na Utamaduni (UNESCO)kwa kushirikiana na madhehebu ya Dini na Viongozi wa Mila ili kuhamasisha amani katika kipindi cha uchaguzi na baada ya uchaguzi.
Na Mwandishi wetu, Simanjro
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia na Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) limekutanisha wadau mbalimbali...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWADAU WA AMANI MKOA WA SHINYANGA WAKUTANA KUJADILI JINSI YA KUDUMISHA AMANI KIPINDI CHA UCHAGUZI
Mambo kadha wa kadha yamejadiliwa ikiwemo kuhakikisha ulinzi na usalama wa...
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
EWURA yawakutanisha wadau wa maji jijini Mwanza kujadili ombi la MWAUASA kuongeza bei ya Maji!
UWURA, Mamlaka ya Maji safi na MajiTaka Mkoani Mwanza MWAUASA na Wadau/Watumiaji wa Maji Jijini Mwanza kwa ajili ya kujadili ombi la MWAUASA kutaka kupandisha bei ya maji kuanzia mwezi January mwakani. Na:George Binagi-GB Pazzo @BMG Mwauasa inatarajia kupandisha bei ya maji...
9 years ago
MichuziEWURA YAWAKUTANISHA WADAU WA MAJI JIJINI MWANZA KUJADILI OMBI LA MWAUASA KUONGEZA BEI YA MAJI.
Na:George Binagi-GB Pazzo @BMGMwauasa inatarajia kupandisha bei ya maji...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pZ14WeZS1fw/Xme4qHyqgsI/AAAAAAALifM/mgeRxGQajyoe9grVjjOuNH2r3aM28HX0QCLcBGAsYHQ/s72-c/04.jpg)
Waziri Mwakyembe azindua kikao cha wadau kujadili utekelezaji wa Mkataba wa UNESCO 2005
![](https://1.bp.blogspot.com/-pZ14WeZS1fw/Xme4qHyqgsI/AAAAAAALifM/mgeRxGQajyoe9grVjjOuNH2r3aM28HX0QCLcBGAsYHQ/s640/04.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/05-1.jpg)
9 years ago
StarTV22 Oct
Uongozi mkoa wa Shinyanga, wadau wakutana kujadili suala la amani.
Uongozi wa mkoa wa Shinyanga umekutana na wadau mbalimbali pamoja na kamati ya ulinzi na usalama mkoa kujadili ushirikiano wa kudumisha amani katika kipindi hiki cha uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika jumapili hii Oktoba 25.
Ajenda kuu ya kikao hiki ni ulinzi na usalama katika kipindi cha uchaguzi mkuu hususani ulinzi wa mtoto.
Kamati ya ulinzi na usalama chini ya mkuu wa mkoa kwa kushirikiana na shirika la kutetea haki za watoto la Save the children imeandaa kikao maalum kwa lengo la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s72-c/1-26-2048x1365.jpg)
Tume ya Uchaguzi imekutana na vyama vya siasa kujadili na kupitisha kanuni na maadili kwa uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s640/1-26-2048x1365.jpg)
Semistocles Kaijage, akizungumza katika Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-19-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2B-scaled.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, akifafanua hoja zilizotolewa na Washiriki wa Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ndavXo5s-c4/XslozA4ZT3I/AAAAAAALrZE/3BBPTzDrLgEL9neHTexyMFnokfdhisjCwCLcBGAsYHQ/s72-c/1d9640d1-7112-4acf-8524-015a39cd884c.jpg)
SERIKALI YAWAKUTANISHA WAKUU WA VYUO KUJADILI NAMNA YA KUMALIZA MITAALA
Akifungua kikao hicho Katibu Mkuu wa Wizara Ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Leonard Akwilapo amesema pamoja na mambo mengine watakubaliana namna bora ya kuhakikisha vyuo vinafidia muda wa masomo uliopotea na kukamilisha mihula bila kuathiri...
9 years ago
MichuziTAWLA YAENDELEZA MIDAHALO YA AMANI KWA WADAU WA UCHAGUZI
10 years ago
Habarileo07 Aug
Taswa kujadili uchaguzi mkuu leo
KAMATI ya Utendaji ya chama cha waandishi wa habari za michezo Tanzania (TASWA) leo itakutana kujadili masuala mbalimbali yanayohusu chama hicho.