Unyanyasaji huu wa watoto ni aibu kwa taifa
Watafiti wa masuala ya haki za binadamu wamefanya utafiti na kutoa taarifa kwamba wapo watoto magerezani wanaochanganywa na watu wazima, hivyo kuainisha kuwa hayo ni mateso makubwa kwa watoto kisaikolojia na kimakuzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb24yYI2W8ODHPTJ8zBh-bdkDY14VImemkZYJpqkRCDhj6N4tfKDOsVn*-WrTSMwMOr7p85CTwxixqYY1TenYQ0P/msoka2.jpg?width=650)
ENDELEENI KUFICHUA UNYANYASAJI KWA WANAWAKE, WATOTO – TAMWA
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Tatizo la aibu kupita kiasi kwa watoto
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Kwa nini tuone aibu kuzaa watoto wenye ulemavu?
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RWFvfYmJctg/VA1s0EjRydI/AAAAAAAGhp8/Uqyg-EfKNDE/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
MWANAHARAKATI KHADIJA LIGANGA ATOA SEMINA YA UNYANYASAJI WA KIJINSIA NA UKATILI DHIDI YA WATOTO KWA VIJANA ZAIDI YA 100 JIJINI MWANZA
Semina hiyo iliyoandaliwa na Teen Club Mwanza, ililenga Kujenga uwezo wa kutambua ukatili na unyanyasaji wa...
11 years ago
KwanzaJamii01 Jun
Unyanyasaji wa watoto magerezani
10 years ago
Habarileo01 Jan
Matukio 24,000 ya unyanyasaji watoto yaripotiwa
WIZARA ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto imesema kuna kesi zaidi ya 24,000 zinahusu matukio ya unyanyasaji na ukatili wa haki za watoto katika kipindi cha mwaka 2013 na Februari, mwaka jana.
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Kesi 5,000 za unyanyasaji watoto zaripotiwa
ZAIDI ya kesi 5,000 za unyanyasaji wa watoto zimeripotiwa katika Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa) ambapo kati ya hizo, kesi 1,400 zimeshughulikiwa huku kesi 800 zikisuluhishwa na watoto hao...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DUqBMtLzwAY/U2ibkNAMIfI/AAAAAAAFf2M/AP28rlbzD00/s72-c/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
JESHI LA POLISI LAJIPANGA KUKOMESHA UKATILI NA UNYANYASAJI WA WATOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-DUqBMtLzwAY/U2ibkNAMIfI/AAAAAAAFf2M/AP28rlbzD00/s1600/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
Mkuu wa Dawati la Jinsia Nchini Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Adolfina Chialo, amewataka askari wote nchini hususan wale waliopo katika dawati la jinsia kuhakikisha wanafanya kazi kwa weledi ili kukomesha vitendo vya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto.
Hayo ameyasema hayo wakati wa ufunguzi wa semina ya mafunzo ya siku tano yanayotolewa kwa Maafisa na askari wa Jeshi la Polisi katika mkoa wa Dar es salaam, ambapo...
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Riadha taifa ni aibu