Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UONGOZI WA NEW YORK TANZANIA COMMUNITY WATANGAZA SIKU YA UCHAGUZI "SEPT 12" BAADA YA KIKAO NA WALEZI

Viongozi wa New York Tanzania Community wakiwa kwenye picha ya pamoja na Mh. Balozi Mwinyi baada ya kikao cha kupanga tarehe ya uchaguzi kutokana na viongozi walio madarakani kumaliza muda wakuiongoza community. Baada ya kikao hiki Watanzania waishio New York na vitongoji vyake watatangaziwa  siku ya kuchukua form na sifa za wagombea wanaofaa tayari kwa uchaguzi wa nyazifa mbalimbali ndani ya New York Tanzania Community. Uchaguzi huo utafanyika siku ya jumamosi tarehe 12 mwezi wa 9 mwaka huu...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90

am4

Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.

Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti  wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.

 

9 years ago

Dewji Blog

Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yafutwa, uchaguzi kurudiwa baada ya siku 90

am4

Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.

Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti  wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde visiwani Zanzibar.

Modewji blog itawaletea taarifa zaidi hapo baadae.

 

10 years ago

Vijimambo

JUMUIYA YA NEW YORK TANZANIA COMMUNITY KUANDAA SHEREHE ZA MUUNGANO APRIL 26 UKUMBI WA RICH RICH

Sherehe za Muungano kuunguruma ndani ya Jiji la wasilolala New York City, April 26 kuanzia saa 12 jioni hadi usiku wa manane. Sherehe hizi zitasimamiwa na viongozi wa Jumuiya ya Watanzaia New York. Kutakuwa na chakula na vinywaji baridi kwa gharama ya Dollar 50 Mtu mmoja na Burudani ya music pamoja na mambo mbalimbali ya kuwafanya watu watakaojitokeza kufurahia siku hii ya kujivunia kwa nchi yetu ya Tanzania na Zanzibar Watanzania wote mnakaribishwa kiroho safi.Ukumbi utakaofanyika Cherehe...

 

10 years ago

Vijimambo

SHUKRANI KUTOKA KWA DR TEMBA KWENDA KWA NEW YORK TANZANIA COMMUNITY PAMOJA NA NDUGU NA MARAFIKI


Mwalimu Flavian Temba 6-09-2015 
To All: We wish to acknowledge the many expressions from friends and love one during this time bereavement. Words cannot express the strength you and the Diaspora and Bongo community have given us during this difficult time. 
May Mwalimu Flavian Temba's bright spirit live on in us all. Sincerely 
Temba Anicetus family



His wife, Salome Flavian Temba, family and friends giving blessing on his eternal journey in peace 

Godson Philip Kilewo, families, and...

 

9 years ago

Vijimambo

Curious on Tanzania Launches Tanzania Culture Fest in New York City On September 5, 2015 experience Tanzania in New York City with a cultural evening of food and live entertainment that will inspire and fulfill your curiosities about Tanzania.


Curious on Tanzania Launches Tanzania Culture Fest in New York City On September 5, 2015 experience Tanzania in New York City with a cultural evening of food and live entertainment that will inspire and fulfill your curiosities about Tanzania. 

The idea behind the Fest is to celebrate Tanzanian culture with Tanzanians, taste makers, previous/ future travelers and others who are curious to know more or experience our culture and more. Some of the highlight of the event will be Tanzanian...

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA YA MSIBA NEW YORK NA TANZANIA, LEO NI SIKU YA MWISHO MWILI WA MAREHEMU UNAPUMZISHWA KWENYE NYUMBA YA MILELE HUKO TANZANIA, WATANZANI TUTAKUTANA NYUMBANI KWA DR TEMBA

FLAVIAN IS FLAVIAN TEMBA:   1950 -2015

Alizaliwa Uru Shimbwe na alikuwa Mwalimu  Lyamungu Secondary School, Moshi Kilimamjaro Tanzania.
 Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania kwa Masikitiko makubwa tunaungana na Mweka na Mweka Hazina wetu Dr.Temba kutangaza kifo cha Kaka yake mpenzi Mzee Flavian Temba kilichotokea ghafla usiku wa  June 10,2015 katika Hospitali ya Mawenzi Moshi Kilimanjaro, Tanzania. Kama ilivyo desturi yetu wanajumuiya tuungane na Dr.Temba...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MKUTANO WA New York Tanzanian Community.

Ndugu Wanajumuiya,
Mkutano wa Wanajumuiya wote utafanyika Jumamosi, tarehe 2 Agosti 2014 kwenye Jengo la Ubalozi address hii: 30 Overhill Rd, Mount Vernon, NY 10552 (Pale pale tulipofanyia uchaguzi mwaka jana, 2013), kuanzia saa nane mchana hadi saa moja jioni. 
Mkutano utajadili maendeleo ya Jumuiya, tulipotoka na tunakoelekea. Katika Mkutano huu wamajumuiya watapata fursa ya:
·      Kusikia kutoka kwa kila kiongozi wa Jumuiya ni nini kila kiongozi alichokifanya tokea achaguliwe Oktoba 2013...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA LEO, TANO BORA YA WAGOMBEA KUPATIKANA BAADA YA KIKAO HIKI

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM (CC) kinachoendelea hivi sasa kwenye Ukumbi wa White House, Makao Makuu ya CCM, Mjini Dodoma. Kikao hiki kinapitia majina yote 38 ya Watangaza nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya CCM, ambapo majina matano yatapatikana baada ya kikao hiki.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM - Zanzibar, Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein, Makamu Mwenyekiti wa CCM - Bara,...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZILIZO TAMBA SIKU YA UFUNGUZI WA TANZANIA HOUSE NEW YORK CITY KUTOKA TEMBAPHOTO

Ukodak kutokaTembaphoto ndani ya Tanzania House New York City. Dr Temba akipata ukodak ndani ya Tanzania House kiroho safi


 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani