Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAARIFA YA MKUTANO WA New York Tanzanian Community.

Ndugu Wanajumuiya,
Mkutano wa Wanajumuiya wote utafanyika Jumamosi, tarehe 2 Agosti 2014 kwenye Jengo la Ubalozi address hii: 30 Overhill Rd, Mount Vernon, NY 10552 (Pale pale tulipofanyia uchaguzi mwaka jana, 2013), kuanzia saa nane mchana hadi saa moja jioni. 
Mkutano utajadili maendeleo ya Jumuiya, tulipotoka na tunakoelekea. Katika Mkutano huu wamajumuiya watapata fursa ya:
·      Kusikia kutoka kwa kila kiongozi wa Jumuiya ni nini kila kiongozi alichokifanya tokea achaguliwe Oktoba 2013...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

African in New York Episode 25 Promo: Affordable Housing in New York: As A Tanzanian Immigrant, What do you need to know?


Ms. Afua Atta-Mensah is the Director of Litigation and Policy Safety Net Project at Urban Justice Center. She works to resolve affordable housing issues helping both Americans and immigrants to both know their rights and to be able to get justice if required.She has been working as an attorney for ten years specializing in housing issues here in New York. At the moment she is running for an unpaid position as a district representative of one of the districts of Harlem and she asks you to...

 

10 years ago

Vijimambo

UONGOZI WA NEW YORK TANZANIA COMMUNITY WATANGAZA SIKU YA UCHAGUZI "SEPT 12" BAADA YA KIKAO NA WALEZI

Viongozi wa New York Tanzania Community wakiwa kwenye picha ya pamoja na Mh. Balozi Mwinyi baada ya kikao cha kupanga tarehe ya uchaguzi kutokana na viongozi walio madarakani kumaliza muda wakuiongoza community. Baada ya kikao hiki Watanzania waishio New York na vitongoji vyake watatangaziwa  siku ya kuchukua form na sifa za wagombea wanaofaa tayari kwa uchaguzi wa nyazifa mbalimbali ndani ya New York Tanzania Community. Uchaguzi huo utafanyika siku ya jumamosi tarehe 12 mwezi wa 9 mwaka huu...

 

9 years ago

Vijimambo

2015 HOUSTON TANZANIAN COMMUNITY THANKSGIVING PARTY

NOV.27-28 || FREE ENTRY FOR GUESTS OUT OF STATE || FREE DRINKS AND FOOD
KARIBUNI
Houston Tanzanian Community is inviting you all for the thanksgiving party this year. All ladies from Houston and other parts of the country/world and men from other cities will party with no cost.Free food, free entrance and free alcohol . Tell a friend to tell another friend that...Thanksgiving 2015 ...Mambo iko huku...Houston, Texas !



 

11 years ago

Ludlow Advertiser

Bishops Castle Community College's Tanzanian exchange


Bishops Castle Community College's Tanzanian exchange
Ludlow Advertiser
THE Community College in Bishop's Castle hosted two teachers from their link school in Tanzania. During their stay Mr Mzee and Madame Mbele supported, observed and delivered lessons and also visited two of the college's feeder primary schools.

 

11 years ago

Dewji Blog

Libe aungana na iftar ya Tanzanian Muslim Community in Washington DC Metro(TAMCO)

Na  Abou Sharty Washington DC

Mgombea wa Urais wa Jumuiya ya waTanzania DMV, Bwana Liberatus Mwang’ombe “Libe”, siku ya Jumapili July 6, 2014 alipata fursa ya kujumuika katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na Tanzanian Muslim Community (TAMTCO), iliopo Washington DC Metro,  kwa ajili ya kuonyesha umoja na mshikamano dhidi ya Jumuiya ya mbali mbali ziliopo hapa DMV.

10524472_10154309166070247_469083183_n

 Mgombea wa Urais wa Jumuiya ya waTanzania DMV, Bwana Liberatus Mwang’ombe “Libe”. (wapili kulia) akipata picha ya pamoja na ...

 

11 years ago

Michuzi

Libe ashiriki iftar ya Tanzanian Muslim Community in Washington DC Metro(TAMCO)

Mgombea wa Urais wa Jumuiya ya waTanzania DMV, Bwana Liberatus Mwang’ombe "Libe". (wapili kulia) akipata picha ya pamoja na  waumini wa  Tanzanian Muslim Community in  (TAMCO) Siku ya Jumapili July 6, 2014 ndani ya ukumbi wa Indian Spring ulipo Silver Spring Maryland
Na  Abou Sharty Washington DC 
 Mgombea wa Urais wa Jumuiya ya waTanzania DMV, Bwana Liberatus Mwang’ombe "Libe", siku ya Jumapili July 6, 2014 alipata fursa ya kujumuika katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na Tanzanian Muslim...

 

10 years ago

Vijimambo

JUMUIYA YA NEW YORK TANZANIA COMMUNITY KUANDAA SHEREHE ZA MUUNGANO APRIL 26 UKUMBI WA RICH RICH

Sherehe za Muungano kuunguruma ndani ya Jiji la wasilolala New York City, April 26 kuanzia saa 12 jioni hadi usiku wa manane. Sherehe hizi zitasimamiwa na viongozi wa Jumuiya ya Watanzaia New York. Kutakuwa na chakula na vinywaji baridi kwa gharama ya Dollar 50 Mtu mmoja na Burudani ya music pamoja na mambo mbalimbali ya kuwafanya watu watakaojitokeza kufurahia siku hii ya kujivunia kwa nchi yetu ya Tanzania na Zanzibar Watanzania wote mnakaribishwa kiroho safi.Ukumbi utakaofanyika Cherehe...

 

10 years ago

Vijimambo

Careers in Africa New York is looking for exceptional Tanzanian Candidates

Dear Colleague, We are now exactly 3 weeks away from the Careers in Africa Recruitment Summit in New York onNovember 7 - 9, 2014. Both Exim Bank and National Microfinance Bank (NMB) will be attending, with a view to recruit Tanzanian professionals from across the US for their operations back home. They will each host an information session (company presentation) and conduct interviews with prospective candidates. This invitation-only, free of charge event will be the ideal platform for you...

 

10 years ago

Vijimambo

SHUKRANI KUTOKA KWA DR TEMBA KWENDA KWA NEW YORK TANZANIA COMMUNITY PAMOJA NA NDUGU NA MARAFIKI


Mwalimu Flavian Temba 6-09-2015 
To All: We wish to acknowledge the many expressions from friends and love one during this time bereavement. Words cannot express the strength you and the Diaspora and Bongo community have given us during this difficult time. 
May Mwalimu Flavian Temba's bright spirit live on in us all. Sincerely 
Temba Anicetus family



His wife, Salome Flavian Temba, family and friends giving blessing on his eternal journey in peace 

Godson Philip Kilewo, families, and...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani