Urais Ukawa, hesabu zinalalia Chadema
>Wakati wenyeviti wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) pamoja na kamati zake za kitaalamu wanakutana Zanzibar kutafuta suluhu kuhusu mgawanyo nafasi za kugombea katika uchaguzi mkuu ujao, kuna uwezekano mkubwa vyama hivyo kuteua mgombea urais kutoka Chadema.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/--LREYzIM-Ms/VFKUJyiDvvI/AAAAAAAAAUU/et19-Jt3wxI/s72-c/lowasa.jpg)
MJUE EDWARD LOWASSA MGOMBEA URAIS WA CHADEMA ANAYEBEBA BENDERA YA UKAWA
![](http://1.bp.blogspot.com/--LREYzIM-Ms/VFKUJyiDvvI/AAAAAAAAAUU/et19-Jt3wxI/s1600/lowasa.jpg)
Alisoma Shule Ya Msingi Ya Monduli (1967-1971), Shule ya Sekondari Arusha Kwa Kidato Kwa Kwanza hadi cha nne (1967-1971) na Shule ya Sekondari Milambo kwa kidato cha Tano Na Sita (1971-1973).
Ana Shahada ya Elimu na Sanaa kutoka Chuo Kikuu Cha Dar es
Salaam Aliyohitimu Mwaka 1977, Na Shahada ya Uzamivu Katika Maendeleo kutoka Chuo Kikuu...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-qfOvFNEThXM/VdBQaM_47EI/AAAAAAAATqU/AvtHDIVmYtI/s72-c/E86A9073%2B%25281280x853%2529%2B%25282%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog16 Aug
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-bkofqn56s9k/VcYVtiDAtPI/AAAAAAABTTY/xBMMK4XwjhI/s72-c/11865230_387435721449032_6198329758720002360_o.jpg)
MGOMBE URAIS KUPITIA CHADEMA NA UKAWA EDWARD LOWASSA KUCHUKUA FOMU TAREHE 10/08/2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-bkofqn56s9k/VcYVtiDAtPI/AAAAAAABTTY/xBMMK4XwjhI/s640/11865230_387435721449032_6198329758720002360_o.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-0nnZF60lyIU/VdARoKOuoUI/AAAAAAAATHw/1N270smJ8rM/s72-c/E86A8547%2B%25281280x853%2529.jpg)
MGOMBEA URAIS KUPITIA CHADEMA NA UKAWA EDWARD LOWASA ALIPOWASILI UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA KILIMANJARO KIA.
Na Dixon Busagaga
Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Kilimanjaro,Phlemoni Ndesamburo akisalimiana na aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Arumeru Magharibi ,Godluck Ole Medeye walipokutana uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) kwa ajili ya mapokezi ya mgombea urais wa UKAWA na Chadema, Edward Ngoyai ,Lowasa.
Mwenyekii wa Chadema mkoa wa Kilimanjaro akisalimiana na James Lembeli walipokutana uwanja wa Ndege wa KIA.
Mbunge wa jimbo la Rombo ,Joseph Selasni akizungumza jambo na aliyekuwa mbunge...
![](http://3.bp.blogspot.com/-0nnZF60lyIU/VdARoKOuoUI/AAAAAAAATHw/1N270smJ8rM/s640/E86A8547%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-inD6l5wfnwc/VdARpsTyf-I/AAAAAAAATH8/s4XEWO20Cu0/s640/E86A8551%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-R__scpUzi30/VdARndPNBiI/AAAAAAAATHs/yc0yDlHI0oM/s640/E86A8553%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4zkzvmXMPOI/VdARxY8symI/AAAAAAAATIE/4PmHQf1h7KA/s640/E86A8559%2B%25281280x853%2529.jpg)
9 years ago
Vijimambo30 Aug
HOTUBA YA MGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA CHADEMA NA UKAWA MH. EDWARD NGOYAI LOWASSA YA KUZINDUA ILANI NA KAMPENI YA UCHAGUZI MKUU
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/ilani-620x308.jpg)
Hotuba ya Lowassa
Jangwani, Dar-es-Salaam, 29 AGOSTI 2015
Ndugu Wana Dar es salaam na Watanzania wenzangu
Leo ni siku ya kihistoria. Baada ya miaka ishirini na tano tangu mfumo wa vyama vingi urejeshwe, vyama vya upinzani wa CHADEMA, CUF, NCCR na NLD umeungana chini ya Umoja wa Katiba ya Wananchi kupigania uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwa na mgombea mmoja katika ngazi zote.
Miaka zaidi ya hamsini ya...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yhw_uy02GeM/VgcIo7lQNNI/AAAAAAAADEM/X6HmwfRBGyk/s72-c/OTH_2227.jpg)
MATUKIO MBALI MBALI YA ZIARA YA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUPITIA CHADEMA KATIKA JIMBO LA HAI, MKOANI KILIMANJARO
![](http://2.bp.blogspot.com/-yhw_uy02GeM/VgcIo7lQNNI/AAAAAAAADEM/X6HmwfRBGyk/s640/OTH_2227.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iuAh_JvQQGQ/VgcI62UWRbI/AAAAAAAADGI/f8yxvtB0yCs/s640/OTH_2634.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s72-c/_MG_6218.jpg)
UPDATES YA UKAWA USIKU HUU: MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA
Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA umesema kuwa mgombea wao wa Urais watamtoa baada ya siku saba.
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s640/_MG_6218.jpg)
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s640/_MG_6218.jpg)
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-F-fdTyZc12Y/VmPzRymcCDI/AAAAAAAAdGc/2c2F2Y1z2Pc/s72-c/b1.jpg)
PPF YAIBUKA KIDEDE KATIKA UTUNZAJI BORA WA HESABU ZAKE, YATWAA TUZO YA WA HESABU UPANDE WA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII
![](http://3.bp.blogspot.com/-F-fdTyZc12Y/VmPzRymcCDI/AAAAAAAAdGc/2c2F2Y1z2Pc/s640/b1.jpg)
Na K-Vis Media/Khalfan Said.MFUKO wa Pensheni wa PPF, umeibuka kidedea kwa kutwaa tuzo ya uwasilishaji bora wa hesabu zake katika kipindi cha mwaka 2014.
Katika hafla ya kutoa tuzo kwa taasisi za serikali na za watu binafsi, Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu, NBAA, imetoa tuzo hizo kwa makampuni na taasisi mbalimbali nchini, ambapo kwa upande wa kundi la Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, PPF ndiyo iliibuka ya kwanza ambapo Mkurugenzi wa Fedha wa Mfuko huo, Bw. Martin Mmari kwa niaba ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania