Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Urembo wa Irene Paul wamdatisha Bonge la Nyau!

Urembo na uchapakazi wa mwanadada anayefanya vizuri katika tasnia ya filamu, Irene Paul umemdatisha msanii wa muziki, Bonge La Nyau aka Nyauloso. Nyauloso ameiambia Nje ya Box ya kipindi cha Planet Bongo cha EATV, kuwa anatadishwa mno na miondoko ya mwanadada huo. “Irene Paul kwanza ukiachana na mambo yote mimi ni shabiki yake,” alisema rapper […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Hizi ndizo sababu za Bonge la Nyau Kudatishwa na Irene Paul

Urembo na uchapakazi wa mwanadada anayefanya vizuri katika tasnia ya filamu, Irene Paul umemdatisha msanii wa muziki, Bonge La Nyau aka Nyauloso.

Nyauloso ameiambia Nje ya Box ya kipindi cha Planet Bongo cha EATV, kuwa anatadishwa mno na miondoko ya mwanadada huyo.

“Irene Paul kwanza ukiachana na mambo yote mimi ni shabiki yake,” alisema rapper huyo.

“Ni mtu ambaye nakuwa naangalia sana kazi zake. Lakini ni mtu ambaye mimi mwenyewe nikimuona najihisi kuna kitu. Unajua yule ni mzuri, ni...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Nana Lava Ft Bonge La Nyau — Kokoro

nana

Wimbo mpya wa Mwanadada Nana Lava unaitwa “Kokoro” amemshirikisha Bonge La Nyau, Producer Aloneym

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

GPL

IRENE PAUL: TUMEBUMA KIMATAIFA

Stori: Imelda Mtema
MAJANGA! Mtoto mzuri Bongo Movies, Irene Paul amefunguka kuwa licha ya wasanii wa filamu kujitutumua lakini wameshindwa kuvuka mipaka ya Kimataifa. Mtoto mzuri Bongo Movies, Irene Paul Akieleza masikitiko yake, Irene alimtaja Lupita:
“Inaniuma sana kumuona Lupita Nyongo amevuka mipaka ya Kenya kikazi, sisi tunashindwaje?” alisema… ...

 

9 years ago

Bongo Movies

Irene Paul Awavaa Mastaa Wanaogombana!

Mshangao! Staa wa sinema za Kibongo, Irene Paul amewavaa baadhi ya mastaa wenzake wanaolumbana na kutenganishwa na siasa bila kujua kuna maisha baada ya uchaguzi wa Oktoba 25.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Irene alisema kuwa haoni kama ni vyema wasanii kugawanyika na kutengana kimakundi kwa sababu ya siasa ambalo ni jambo la mpito ambapo baadaye kila mtu atarudi kwenye maisha yake ya kila siku.

“Nawaomba wasanii wasijisahau kabisa kuwa maisha yao ya kila siku yatarudi hivyo wajiepushe na...

 

9 years ago

GPL

IRENE PAUL AWAVAA MASTAA WANAOGOMBANA!

Staa wa sinema za Kibongo, Irene Paul. Imelda mtema Mshangao! Staa wa sinema za Kibongo, Irene Paul amewavaa baadhi ya mastaa wenzake wanaolumbana na kutenganishwa na siasa bila kujua kuna maisha baada ya uchaguzi wa Oktoba 25. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Irene alisema kuwa haoni kama ni vyema wasanii kugawanyika na kutengana kimakundi kwa sababu ya siasa ambalo ni jambo la mpito ambapo baadaye kila mtu atarudi kwenye maisha...

 

11 years ago

GPL

IRENE PAUL ATESWA NA BIFU LA KUAMBIANA

Stori: Shani Ramadhani
MKALI wa filamu za Bongo, Irene Paul ameweka wazi kuwa anateswa na bifu lake na marehemu Adam Kuambiana kwani amefariki dunia wakiwa wamekorofishana. Mkali wa filamu za Bongo, Irene Paul Irene alisema alitofautina na Kuambiana alipokuwa akiigiza Sinema ya Broken Family, miezi kadhaa iliyopita lakini hadi jamaa huyo anapatwa na umauti, hawakuwa na maelewano. “Mimi nilikuwa na hasira, marehemu pia....

 

10 years ago

Bongo Movies

Irene Paul Kuja na Filamu ya Shukrani

Mshindi wa tuzo ya muigizaji bora wa kike 2015, Irene Paul ameandaa filamu kama zawadi  kwa mashabiki wa filamu  kwa kutambua kazi anazozifanya  na kumpigia kura nyingi zilizompa ushindi.

Akizungumza na Gazeti la Nipashe Irene alisema ana washukuru Watanzania kwa kumpokea tangu alipoingia  katika uigizaji lakini pia ameamua kutenfgeneza filamu ambayo bado hajaipa jina ikiwa ni kwaajili ya kurudisha hisani kwa wanaomkubali.

Irene ambaye alishinda tuzo hiyo ya muigizaji bora wa kike kupitia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani