Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USAID yapongeza jitihada za THBUB

Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu  Mathew Mwaimu akimkabidhi Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo la Kimarekani, USAID, Andy Karas Mpango mkakati wa THBUB wa miaka mitano (2018/ 2023) alipotembelea ofisi za THBUB zilizopo jijini Dodoma na kukutana na viongozi wa juu wa taasisi hiyo leo (Februari 20, 2020). 
 Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo la Kimarekani, USAID, Andy Karas akiongea katika kikao kifupi kilichofanyika baina yake na viongozi wa tume alipotembelea ofisi hizo za  THBUB zilizopo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

THRDC yapongeza uamuzi wa JPM kuwateua Makamishna THBUB


Mratibu wa Kitaifa wa Mtandao wa watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), Onesmo Olengurumwa (kulia) akiongea na Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (kushoto) alipomtembelea ofisini kwake jijini Dodoma leo Februari 24, 2020. Ambapo pamoja na mambo mengine alipongeza uamuzi wa Rais John Magufuli wa kuwateua Makamishna hao wa tume.
Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (kushoto) akimuaga Mratibu wa Kitaifa wa Mtandao wa watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), Onesmo...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KILIMANJARO YAPONGEZA JITIHADA ZA WAFANYABIASHARA KUTANGAZA HIFADHI YA MLIMA KILIMANJARO

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akimvisha taji,mfanyabiashara mashuhuri katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro,Vicent Laswai mara baada ya kufanikiwa kufika katika Kilele cha Mlima Kilimanjaro.Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akimkabidhi cheti mfanyabiashara mashuhuri,Vicent Laswai kwa niaba ya hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA ) mara baada ya kufanikiwa kufika katika kilele cha Mlima Kilimanjaro.
RC Gama akikabidhi zawadi za T-shirt kutoka KINAPA kwa mke wa...

 

10 years ago

Habarileo

THBUB yalaani mauaji ya polisi

TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), imelaani mauaji yaliyofanywa na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi, katika kituo cha Polisi Stakishari, Dar es Salaam juzi.

 

5 years ago

Michuzi

Balozi wa Denmark ahidi kuendeleza ushirikiano na THBUB


Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Mette N. Dissing-Spandet akizungumza na Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu katika mazungumzo yaliyofanyika kwenye ofisi za THBUB jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma.
Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Mette N. Dissing-Spandet (kulia) akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu katika Maktaba ya THBUB alipokuwa akioneshwa mazingira ya ofisi hizo ambazo zilijengwa kwa msaada wa Denmark.
Afisa wa THBUB, Omary Limu...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tamko la THBUB kuhusu Uchaguzi Mkuu 2015

HAKI BINADAMU

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Mhe. Bahame Tom Nyanduga.

Tamko la THBUB kuhusu Uchaguzi Mkuu 2015.pdf 

 

5 years ago

Michuzi

THBUB yatembelea wagonjwa hospitali ya rufaa Dodoma

 Kamishna wa THBUB, Dkt. Fatma Khalfan (kulia) na Kamishna Amina Talib Ali (kushoto) wakitoa mkono wa pole kwa mmoja wa wazazi waliojifungua katika Hospitali ya rufaa jijini Dodoma walipotembelea kuwaona wagonjwa mapema leo Machi 6, 2020. 
 Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya Wanawake na Uzazi, ambaye pia ni Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake, Enid Chiwanga (kushoto) akiongea na ujumbe wa THBUB (mbele yake) uliotembelea Hospitali ya rufaa jijini Dodoma mapema leo Machi 6, 2020. Ujumbe ...

 

10 years ago

Habarileo

USAID yawapiga jeki wasioona

CHAMA cha Walemavu Wasioona nchini hapa (ZANAB) wamepokea msaada wa vifaa vya kompyuta vinavyotafsiri maneno ya kawaida kwenda kwenye mfumo wa brail, unaotumiwa na walemavu hao kufahamu maneno yaliyoandikwa.

 

10 years ago

Michuzi

USAID gets accolades for supporting WMAs

On Monday, March 30, the Authorized Association Consortium (AAC) of Wildlife Management Areas (WMAs) kicked off a 2-day Constitution and Strategic Plan Workshop at the Kurasini Training and Conference Centre in Dar es Salaam. At the opening of the workshop, Acting Wildlife Director Herman Kerario expressed gratitude to the United States Agency for International Development (USAID) for its longstanding support for WMAs in Tanzania. Pictured is a token of appreciation, a custom beaded Maasai...

 

5 years ago

Michuzi

THBUB, Ireland kuelimisha umma kuhusu haki za binadamu

 Balozi wa Ireland nchini Tanzania, Paul Sherlock (kulia) akimkaribisha Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (kushoto) muda mfupi baada ya kuwasili katika ofisi za ubalozi huo jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu(wa nne kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyeji wake Balozi wa Ireland nchini Tanzania, Paul Sherlock ( wan ne kutoka kulia). Wengine ni Viongozi wa THBUB na Maafisa wa Ubalozi wa Ireland. Balozi wa Ireland nchini Tanzania,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani