THRDC yapongeza uamuzi wa JPM kuwateua Makamishna THBUB
![](https://1.bp.blogspot.com/-5jvX_VBemn0/XlTy6fdV2jI/AAAAAAALfN0/Cpuov_BKvjMkr_kAQPVZnRbsE2JZgKFsACLcBGAsYHQ/s72-c/ff54a554-6fea-4ad7-89a4-565a62a867ca.jpg)
Mratibu wa Kitaifa wa Mtandao wa watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), Onesmo Olengurumwa (kulia) akiongea na Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (kushoto) alipomtembelea ofisini kwake jijini Dodoma leo Februari 24, 2020. Ambapo pamoja na mambo mengine alipongeza uamuzi wa Rais John Magufuli wa kuwateua Makamishna hao wa tume.
Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (kushoto) akimuaga Mratibu wa Kitaifa wa Mtandao wa watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), Onesmo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziUSAID yapongeza jitihada za THBUB
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-pdEi26YshYg/XoM7V3sqB6I/AAAAAAABL-E/7m92lcuqwuoN1SouIWnT-PoVn8aeq5vagCLcBGAsYHQ/s72-c/magufuli-onyo.jpg)
SHUKRANI JPM KWA UAMUZI MGUMU,WENYE BUSARA KUIWEKA TZ TULIVU KUHUSU KORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-pdEi26YshYg/XoM7V3sqB6I/AAAAAAABL-E/7m92lcuqwuoN1SouIWnT-PoVn8aeq5vagCLcBGAsYHQ/s640/magufuli-onyo.jpg)
MKUU wangu wa Nchi, nimeamua kukushukuru kwa uamuzi wako Mgumu wenye Busara wa kuwataka Watanzania waache kutishana kuhusu ugonjwa wa Korona, bali waendelee kuchapa kazi, lakini kwa tahadhari kubwa juu ya Ugonjwa huo hatari uliozikumba nchi masikini na tajiri duniani.
Wakati unatoa uamuzi huo hukukurupuka kwa kuiga marufuku zinazotolewa na viongozi wa nchi mbalimbali, za kuwataka wananchi wao wasitoke nje kwa siku kadhaa wakidhani ndo njia mojawapo ya kuudhibiti ugonjwa huo , bali wewe...
10 years ago
IPPmedia24 Jun
THRDC opposed to issuance of certificates of compliance
IPPmedia
The Tanzania Human Rights Defenders Coalition (THRDC) has called upon the Ministry of Community Development, Gender and Children (MCDGC) to postpone registering for certificate of compliance until the conflicts of laws regulating NGOs are resolved.
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
THRDC na harakati za kutetea watetezi wa haki za binadamu
MTETEZI wa haki za binadamu ni mtu yeyote ambaye amejitolea kupinga dhuluma na uonevu dhidi ya binadamu. Kuwa mtetezi wa haki za binadamu hakuhitaji kuwa na shahada wala stashahada kama...
11 years ago
Habarileo20 Feb
Waipongeza SMZ kwa kuwateua Bunge la Katiba
JUMUIYA ya Watu Wasioona Zanzibar (Zanab), imeipongeza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), kwa kuwashirikisha kikamilifu katika mchakato wa Bunge la Katiba baada ya kuteua wanachama wake kuwa wajumbe.
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Mbowe kuwateua Cuf, NCCR Baraza Kivuli
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Mbowe kuwateua CUF, NCCR-Mageuzi, Baraza la Kivuli
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Rais Magufuli amemalizia kuwateua Mawaziri waliobaki….(+Audio)
Dec 23 2015 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la Mawaziri la kwanza katika awamu ya tano ya utawala wake. Wote wametajwa hapa chini Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]
The post Rais Magufuli amemalizia kuwateua Mawaziri waliobaki….(+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Dewji Blog16 Dec
THRDC watoa tamko kwa umma juu ya hali ya watetezi wa haki za wafugaji Loliondo
Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu THRDC Taifa, Bw. Onesmo Olengurumwa, akizungumza na waandishi wa habari wakati akitoa tamko la kulaani vikali kutishwa kwa watetezi wa haki za wafugaji walioko Loliondo jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria mkutano huo uliofanyika kwenye ofisi za kituo hicho jijini Dar es Salaam.
tamko loliondo chragg kiswahili.doc by moblog