UTAFITI WA KUIWEZESHA ZNZ KUWA NA VYANZO VYA NISHATI WAFANYWA
Na Rahma Khamis – Maelezo Zanzibar. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea na azma yake ya kukamilisha Mradi wa Utafiti wa Nishati mbadala ili kujuwa uwezekano wa Zanzibar kupata Umeme wake wa uhakika.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Ardhi,Makazi,Maji na Nishati Ramadhan Abdalla Shaaban katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani wakati akitoa Hutuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2015 /2016.
Amesema Wizara yake imekamilisha kazi ya kupatikana kwa Mkandarasi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWananchi watakiwa kuwa nje ya mita 60 kutoka vyanzo vya maji vinavyopeleka Mtera
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Nzige: Wadudu waharibifu wafanywa kuwa kitoweo Uganda na Somalia
11 years ago
MichuziMADIWANI MANISPAA YA MOSHI WATEMBELEA VYANZO VYA MAJI VYA MUWSA
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,(MUWSA) Mhandisi Cyprian Luhemeja(aliyenyoosha mkono)akitoa maelezo kwa Madiwani walipotembelea chanzo cha Maji cha Cofee Curing.
10 years ago
StarTV15 Jan
Wananchi wavamia vyanzo vya maji vya Milima ya Amani Tanga.
Na Mbonea Herman,
Tanga.
Wakati Serikali ikiwa imepiga marufuku uvunaji wa misitu na uchimbaji wa madini kwenye vyanzo vya maji vya milima ya Amani, jitihada hizo zimeonekana kugonga mwamba baada ya shughuli hizo kuanza tena kwa kasi.
Shughuli za madini na uvunaji wa mbao katika milima ya Amani wilayani Muheza mkoani Tanga huenda zikasababisha ukosefu wa maji kuendelea katika maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo na jiji la Tanga kwa ujumla.
Maji ni uhai na pia ni muhimu kwa maisha ya kila...
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
SWALA kuanza utafiti upatikanaji nishati
KAMPUNI ya Mafuta na Gesi ya Swala (Tanzania), imetangaza rasmi kuanza kwa mpango wake wa mwaka 2014 kuanza utafiti wa upatikanaji wa nishati ujulikanao kama 2D. Lengo la utafiti huo...
10 years ago
Vijimambo02 Apr
KING MAJUTO KUVUNJA MBAVU VIWANJA VYA KARIAKOO ZNZ siku ya KARUME DAY, Aprili 7
![11081279_10153671778293368_2618536340363672919_n (2)](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/11081279_10153671778293368_2618536340363672919_n-2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OPdGKi-4QLs/VVlvADOIeqI/AAAAAAAAPlw/kV_Xcyl-zTU/s72-c/DSCF5244%2B(800x600).jpg)
DC MAKUNGA ATEMBELEA VYANZO VYA MAJI VYA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OPdGKi-4QLs/VVlvADOIeqI/AAAAAAAAPlw/kV_Xcyl-zTU/s640/DSCF5244%2B(800x600).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-s4wTb8103k8/VVlus-ncxNI/AAAAAAAAPk0/pP4kPZqI3ys/s640/DSCF5197%2B(800x600).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GJ2i5UWB5Ug/VVlvIgBLNYI/AAAAAAAAPmI/t_NqPHCjtXU/s640/DSCF5247%2B(800x600).jpg)
9 years ago
StarTV23 Nov
Uharibifu Vyanzo Vya Maji Mto Zigi vya waweza kusababisha tatizo la maji Tanga
Mamlaka ya majisafi na majitaka Tanga UWASA imesema uharibifu wa mazingira katika vyanzo vya maji vya mto Zigi unaweza kusababisha jiji hilo kuingia kwenye tatizo la maji.
Tayari Mamlaka hiyo imeanzisha Umoja wa Wakulima hifadhi Mazingira Kihuwhi Zigi, UWAMAKIZI kama harakati ya kukabiliana na uchimbaji wa madini, kilimo na ukataji wa miti kwa ajili ya mbao.
Jiji la Tanga hutegemea maji ya mto zigi kama chanzo pekee cha maji na shughuli za kibinadamu kwenye vyanzo vya mto huo huenda...
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
Vyanzo vya umaskini vyabainishwa
UMASIKINI nchini umelezwa kuchangiwa na ongezeko la ukatili wa kijinsia na bajeti ya taifa kutozingatia mahitaji ya kijinsia. Hayo yalibainishwa jana na Mratibu wa Mafunzo ya Ushawishi na Utetezi katika...