Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utouh: Za EPA zilirudi, za Escrow zirudi

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) mstaafu, Ludovick Utouh, amesema serikali inatakiwa kuhakikisha fedha zake zilizokuwepo kwenye akaunti ya Tegeta Escrow zinarudi kama ilivyokuwa kwa zile za EPA.

Katika mahojiano yake na Raia Mwema yaliyofanyika jijini Dar es Salaam wiki hii, Utouh alisema kama angepewa fursa ya kumshauri Rais Jakaya Kikwete kuhusu nini cha kufanya na suala la Escrow bila shaka angemwambia ahakikishe anapata kwanza fedha zilizopotea.

“Kwanza niseme kwamba...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

EPA, Jairo’s fundraiser gave Utouh sleepless nights

>The 2008 External Payment Arrears (Epa) scam and the 2011 David Jairo fundraiser may have been hot topics for the media, politicians, development partners and civil society but they gave the man who audited them sleepless nights.

 

10 years ago

TheCitizen

Utouh reveals how EPA, Jairo took heavy toll on him as CAG

>Ludovick Utouh, the fifth Controller and Auditor General in post-independence Tanganyika/Tanzania, officially retires today. The Citizen Business Editor, Samuel Kamndaya, spoke to him about his best and worst days as CAG for eight years. Read on:

 

10 years ago

KwanzaJamii

KAFULILA AMVAA TENA CAG UTOUH KUHUSU RIPOTI AKAUNTI YA ESCROW

Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila, ametoa lawama kwa Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG) Ludovick Utoh,  kwa kuchelewesha ripoti ya uchunguzi wa fedha za akaunti ya Escrow kazi aliyopewa na Bunge la Jamhuri. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kafulila alisema licha ya kupewa kazi hiyo tangu Machi 20, mwaka huu, lakini mpaka sasa ameshindwa kukabidhi ripoti ya uchunguzi kwa bunge...

 

10 years ago

TheCitizen

Spare me the details on EPA, Richmond and Escrow!

They say that ignorance is blissful to a fool like me.

 

10 years ago

TheCitizen

Slaa: Recover escrow, Epa money now

Chadema Secretary General Dr Wilbrod Slaa yesterday asked the government to bring back public funds which were embezzled through the Tegeta escrow account, Epa and Richmond scandals.

 

10 years ago

Habarileo

Utouh awalipua wabunge

Ludovick UtouhALIYEKUWA Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh amesema baadhi ya wabunge hawazijui sheria walizozitunga na hivyo kujikuta wakitoa maamuzi ambayo hupingana na sheria hizo.

 

10 years ago

TheCitizen

Ending graft: It’s now or never, says Utouh

The government faces two major challenges that must be dealt with immediately--corruption in public institutions and lack of accountability, according to the immediate former controller and auditor-general, Mr Ludovick Utouh.

 

10 years ago

Habarileo

CAG Utouh astaafu

ALIYEKUWA Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh ameagwa rasmi baada ya kustaafu wadhifa huo alioutumikia kwa miaka minane huku akilishukuru Bunge kwa kumpa ushirikiano wakati wa utumishi wake.

 

10 years ago

IPPmedia

Who will replace Utouh, the CAG?


Who will replace Utouh, the CAG?
IPPmedia
A Buzz has started in Dar es Salaam on who is likely to take over as Controller and Auditor General as the current CAG Ludovick Utouh prepares to leave office. The CAG's Office is one of the most high profile public functions, where personal style matters ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani