Uvuvi haramu washusha upatikanaji samaki
Chama cha Wavuvi Tanzania (Taf) kimesema hali ya upatikanaji samaki kwenye Ziwa Victoria imeshuka kwa kasi kutokana na kuongezeka kwa vitendo vya uvuvi haramu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Uvuvi haramu unazorotesha sekta ya uvuvi ziwa Nyasa
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Ukosefu wa samaki washusha mapato
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Kituo cha kuendeleza Samaki Kanda ya Kati chatoa siku saba kwa wavuvi haramu kusalimisha zana haramu wanazotumia
Baadhi ya nyavu haramu zisizoruhusiwa kutumika kuvulia samaki kwenye bwawa la Kijiji cha Mwanzugi,wilayani Igunga.
Na. Jumbe Ismailly
[IGUNGA] Kituo cha kuendeleza samaki Kanda ya kati,chenye makao yake makuu wilayani Igunga,Mkoani Tabora kimetoa muda wa siku saba kuanzia sasa kwa watu wote wanaojishughulisha na uvuvi...
10 years ago
BBCSwahili16 Aug
Uvuvi wamuangamiza samaki mkubwa
11 years ago
Habarileo04 May
Zana haramu za uvuvi zateketezwa
KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Rachel Kassanda ameshiriki katika hafla ya kuteketeza zana haramu za uvuvi zenye thamani ya Sh milioni 68.6. Shughuli hiyo ilifanyika wilayani Muleba mkoani Kagera.
11 years ago
Habarileo09 Aug
Ukerewe kukabiliana na uvuvi haramu
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe, Mwanza limetangaza kuwa tatizo la uvuvi haramu, hasa wa kutumia sumu ni janga, hivyo kupitisha azimio la kulikabili.
11 years ago
Habarileo06 Mar
Doria za uvuvi haramu kuendelea
DORIA za maeneo ya hifadhi ya uvuvi, Unguja na Pemba kwa kiasi kikubwa zimepunguza uvuvi haramu uliokuwa ukifanywa na wavuvi wasiokuwa waaminifu. Mkuu wa Doria wa Idara ya Maendeleo ya Uvuvi ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Haji Shomari alisema doria hizo zinazowashirikisha wavuvi kutoka katika kamati za uvuvi za shehia zimefanikiwa kudhibiti uvuvi haramu kwa asilimia kubwa.
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Mbaroni kwa uvuvi haramu
JESHI la Polisi mkoani Kigoma, linawashikilia watu watano wakiwemo raia wa Burundi kwa tuhuma za uvuvi haramu katika Ziwa Tanganyika eneo la kijiji cha Kiziba Wilaya ya Kigoma Vijijini, baada...
10 years ago
Habarileo12 Jun
SMZ yafanikiwa kuthibiti uvuvi haramu
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema imefanikiwa kudhibiti uvuvi haramu ambao umekuwa chanzo kikubwa cha kuharibu rasilimali za baharini ikiwemo samaki ambao wengi huvuliwa wakiwa hawafai kwa matumizi ya kula.