Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


V Gaal:Itachukua miaka 3 kuijenga Man U

Mkufunzi wa timu ya Man United Louis Van Gaal amesema kuwa huenda ikachukua miaka mitatu kwa kilabu hiyo kuafikia kiwango chake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio rekodi ya Man United iliyodumu kwa miaka 54, lakini imevunjwa chini ya Louis van Gaal ….

Kila mpenda soka anasubiria kuona mwaka 2015 utamalizikaje kwa kocha wa klabu ya Manchester United Louis van Gaal kuendelea kuwa Man United, Kwani Van Gaal kwa sasa anahusishwa kufukuzwa kazi wakati wowote. Mengi yanachochea uvumi huo kuwa upo karibu kutimia, ukizingatia mtendaji mkuu wa Man United yupo kimya kwa muda mrefu bila kutoa kauli yoyote. Wazungu […]

The post Hii ndio rekodi ya Man United iliyodumu kwa miaka 54, lakini imevunjwa chini ya Louis van Gaal …. appeared first on...

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal; Man U haihitaji mshambuliaji

Meneja wa Manchester United amesema kwamba hana haja ya kuimarisha washambuliaji wake

 

10 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:Man U haina mshambuliaji mzuri

Kilabu ya Manchester United haiwezi kushinda taji la ligi kwa kuwa haina mshambuliaji mwenye uwezo wa kufunga mabao 20 kwa msimu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:'Nitaondoka Man U kukaa na mke'

Meneja wa Manchester United Louis Van Gaal amesema kuwa huenda akaondoka katika kilabu ya Manchester United mwisho wa kandarasi yake ya miaka mitatu ili kutimiza ahadi aliotoa kwa mkewe.

 

11 years ago

BBCSwahili

Van Gaal meneja mpya wa Man United

Louis van Gaal ndiye meneja mpya wa Manchester United

 

9 years ago

BBCSwahili

Man United: van Gaal ''mimi si kiziwi''

Mkufunzi wa Manchester United Louis van Gaal amefichua kuwa anatambua mashabiki wa klabu hiyo hawajafurahia mbinu zake.

 

10 years ago

Mwananchi

Van Gaal: Man United bado sana

Kocha wa Manchester United, Louis van Gaal amekiri kuwa mwanzo umekuwa mgumu kwake msimu huu hasa baada ya kulazimishwa kwenda suluhu na Burnley.

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal aamini Man Utd watajinasua

Louis van Gaal amesema Manchester United wanaweza wakaimarika lakini lazima waboreshe uchezaji wao mara moja.

 

9 years ago

TheCitizen

I could quit Man Utd, says embattled Van Gaal

Louis van Gaal said that he could jump before he is pushed after his position as Manchester United manager became even more precarious following a fourth successive defeat.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani