Van Persie kuelekea Fenerbahce
Klabu ya Uturuki Fenerbahce ina matumaini ya kuafikia mkataba ya kumsajili mshambuliaji wa Manchester United Robin Van Persie baada ya mazungumzo zaidi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Fenerbahce kumnyakua Van Persie?
Klabu ya soka Fenerbahce ya nchini Uturuki imeanza mazungumzo ya kumsainisha mchezaji wa Manchester Utd Robin van Persie.
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-YXhcxvqCHrA/VaNIDqRYdCI/AAAAAAAACjs/JEmH-ra5O2I/s72-c/2A77F72100000578-3158183-image-a-52_1436709605674.jpg)
ROBIN VAN PERSIE LEFT THE CITY OF MANCHESTER WITH A PRIVATE PLANE TO FENERBAHCE
![](http://1.bp.blogspot.com/-YXhcxvqCHrA/VaNIDqRYdCI/AAAAAAAACjs/JEmH-ra5O2I/s400/2A77F72100000578-3158183-image-a-52_1436709605674.jpg)
Manchester United striker Robin van Persie is on his way to Istanbul ahead of his move to Fenerbahce.Van Persie took to social media to post a series of pictures of himself and his family outside the private jet he will be flying on from Manchester Airport to Istanbul.
The Dutchman, who sported a Fenerbahce scarf, also uploaded a snap of himself in the cockpit of the plane accompanied with the caption 'Ready for take off'.
![](http://2.bp.blogspot.com/-sPLSJ7aMb5k/VaNIsre5ebI/AAAAAAAACj0/aT9ytOWsZ0s/s400/2A5BF03000000578-3158183-image-a-55_1436709795234.jpg)
10 years ago
BBCSwahili22 Feb
Van Persie apata jeraha
Kilabu ya Manchester United inasubiri kujua ubaya wa jeraha la mshambuliaji wake Robin Van Persie
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Van Persie atua Uturuki
Mashabiki wa manchester United wengi walijua kuwa Van Persie anaondoka kuelekea Fenabashe lakini mtoto Louis Diamond hakufahamu
10 years ago
BBCSwahili22 Nov
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
Van Persie ainusuru Man United
Van persie aliiongoza Man United kufuzu kwa robo fainali ya kombe la mabingwa Uropa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2iavLFvIpAylkSmmiETHMJRurnzcpSVC*j74cu9FDXRBqQFdZSijZ0liW15hhGqbsIZIZACnMtzQanOBjzGUeus/3nilolympiacos3380996054.jpg?width=650)
VAN PERSIE AINUSURU MAN UNITED
Robin van Persie akishangilia moja ya bao alilofunga usiku wa kuamkia leo walipokuwa wakicheza na Olympiakos katika Ligi ya Mabingwa Ulaya. Robin van Persie alifunga mabao matatu na kuisaidia mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Uingereza Manchester United, kujikatia tiketi ya kushiriki robo fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya baada ya kuinyuka Olympiakos mabao 3-0 katika mechi ya mkondo wa pili iliyochezwa Old Trafford....
11 years ago
BBCSwahili14 Mar
Van Persie kusaini mkataba mpya
Mshambulizi wa Manchester United Robin van Persie amesema kuwa yuko tayari kuongeza muda wa mkataba wake na Man United
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania