Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Van Persie kusaini mkataba mpya

Mshambulizi wa Manchester United Robin van Persie amesema kuwa yuko tayari kuongeza muda wa mkataba wake na Man United

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Sergio Busquet Kusaini mkataba mpya.

Kiungo mahiri wa klabu ya Barcelona Sergio Busquets anatarajia kuongeza mkataba na miamba hao wa soka wa Hispania.

 

10 years ago

GPL

Niyonzima agoma kusaini mkataba mpya Yanga SC

Mchezaji wa Yanga, Haruna Niyonzima. Na Elius Kambili,
YANGA wajanja sana, kwani wanataka Haruna Niyonzima asaini mkataba mpya na klabu yao halafu malipo yafanyike baadaye kwa awamu jambo ambalo limepingwa na kiungo huyo raia wa Rwanda. Niyonzima ni miongoni mwa wachezaji wa Yanga ambao mikataba yao itafikia tamati mwishoni mwa msimu huu wa Ligi Kuu Bara ifikapo Mei, mwaka huu.Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa kiungo huyo,...

 

10 years ago

Bongo5

Exclusive: Q-Chief aelezea kusaini mkataba na kampuni mpya, majaribu, alichojifunza na ujio wake kama msanii aliyebadilika (Video)

Muimbaji mkongwe wa muziki wa Bongo Flava aliyewahi kuhit na nyimbo nyingi, Abubakar Katwila aka Q-Chief amesaini mkataba wa usimamizi na kampuni ya Apex Consultants & Associates ya QS ya Joseph Mhonda. Akiongea na Bongo5 kwenye mahojiano exclusive, Chief amesema kusaini mkataba na kampuni hiyo kumempa matumaini mapya baada ya kuwa kwenye majaribu mazito kwa […]

 

9 years ago

Mtanzania

Van Gaal kuongezewa mkataba mpya United

Van GaalMANCHESTER, ENGLAND

KLABU ya Manchester United inatarajia kufanya mazungumzo na kocha wake Louis van Gaal kwa ajili ya
kumuongezea mkataba mpya Januari mwakani.

Uongozi wa klabu hiyo umesema una furaha kubwa kuwa na kocha huyo tangu alipoanza kuiongoza miezi 17
iliyopita.

Van Gaal alijiunga katika klabu hiyo kwa mkataba wa miaka mitatu, hivyo mkatab huo unatarajia kumalizika
2017, hivyo makamu mwenyekiti wa klabu hiyo, Ed Woodward amedai kwamba wana imani na kocha huyo.

Hata hivyo, awali...

 

10 years ago

BBCSwahili

Van Persie kuelekea Fenerbahce

Klabu ya Uturuki Fenerbahce ina matumaini ya kuafikia mkataba ya kumsajili mshambuliaji wa Manchester United Robin Van Persie baada ya mazungumzo zaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Van Persie atua Uturuki

Mashabiki wa manchester United wengi walijua kuwa Van Persie anaondoka kuelekea Fenabashe lakini mtoto Louis Diamond hakufahamu

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,ni Wellbeck ama Van Persie?

Je,Welbeck atageuka na kuwa mwiba dhidi ya kilabu yake ya zamani?

 

10 years ago

BBCSwahili

Fenerbahce kumnyakua Van Persie?

Klabu ya soka Fenerbahce ya nchini Uturuki imeanza mazungumzo ya kumsainisha mchezaji wa Manchester Utd Robin van Persie.

 

10 years ago

BBCSwahili

Van Persie apata jeraha

Kilabu ya Manchester United inasubiri kujua ubaya wa jeraha la mshambuliaji wake Robin Van Persie

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani