Sergio Busquet Kusaini mkataba mpya.
Kiungo mahiri wa klabu ya Barcelona Sergio Busquets anatarajia kuongeza mkataba na miamba hao wa soka wa Hispania.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili14 Mar
Van Persie kusaini mkataba mpya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qmsUgHzH5lPTFd4gKQrf3QPhwTGK2FxmKpUr9DvGJXnpN1AkTjcJFcRcgYsFHbTPY7Zky-6gMf5AiR-FkF2lNUlXW8LUVhg7/NIYONZIMA.jpg)
Niyonzima agoma kusaini mkataba mpya Yanga SC
10 years ago
Bongo519 Aug
Exclusive: Q-Chief aelezea kusaini mkataba na kampuni mpya, majaribu, alichojifunza na ujio wake kama msanii aliyebadilika (Video)
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Sudan.K: Kusaini mkataba wa amani
9 years ago
Habarileo12 Sep
TFF, NHIF kusaini mkataba wa mwaka
MKATABA wa mwaka mmoja wa udhamini wa Mfuko wa Bima ya Afya nchini (NHIF) na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa ajili ya wachezaji wa klabu 16 za Ligi Kuu na viongozi wa benchi la ufundi, unatarajiwa kusainiwa rasmi keshokutwa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NOzw*b8EyMrdSGT5fDZWw9MBE8Gq2nTv04Lpm2bMieHpYiiqAr6ISi--S6jta4Pl4fID8Feqpxd21cmWnQCtlourIvG97Soi/sima.gif?width=650)
Simba yamzuia straika ligi kuu kusaini mkataba
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Barcelona yavunja Mkataba na Guardiola saa moja baada ya kusaini
Sergi Guardiola.
Barcelona, Hispania
KLABU ya Barcelona nchini Hispania imeingia kwenye headline leo baada ya kuvunja mkataba wake na mchezaji Sergi Guardiola saa moja baada ya kumsajili.
Hii imetokea baada ya Sergi Guardiola (hana uhusiano na Pep) kuandika kwenye mtandao wa twitter maneno ambayo yanaonesha kuuchukiza uongozi wa Barca.
Kiungo Guardiola mwenye umri wa miaka 24, kabla ya kujiunga na Barca alikuwa akichezea timu ya Alcorcon inayoshiriki ligi ndogo za Hispania.
Walichokisema...
9 years ago
BBCSwahili17 Aug
Ramos asaini mkataba mpya
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Lewis Hamilton kuongeza mkataba mpya?