Van Gaal kuongezewa mkataba mpya United
MANCHESTER, ENGLAND
KLABU ya Manchester United inatarajia kufanya mazungumzo na kocha wake Louis van Gaal kwa ajili ya
kumuongezea mkataba mpya Januari mwakani.
Uongozi wa klabu hiyo umesema una furaha kubwa kuwa na kocha huyo tangu alipoanza kuiongoza miezi 17
iliyopita.
Van Gaal alijiunga katika klabu hiyo kwa mkataba wa miaka mitatu, hivyo mkatab huo unatarajia kumalizika
2017, hivyo makamu mwenyekiti wa klabu hiyo, Ed Woodward amedai kwamba wana imani na kocha huyo.
Hata hivyo, awali...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili19 May
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBImVWISxAHDZ44HD0KBzqIr*rDeGmgqk1xva*mI2LQEtHqc*NRX6x-6GjPqRBn1-x*LB46ZkdLt-T2-nl38dKqVF/GAAL_1513996a.jpg)
LOUIS VAN GAAL KOCHA MPYA MANCHESTER UNITED
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nymw8KOWZHk/U8gVuiCIYHI/AAAAAAAF3LM/kZ9GYAfOM-w/s72-c/article-2696004-1FB9976E00000578-909_964x373.jpg)
Kocha mpya wa Man United Louis van Gaal aanza kazi kwa mikwara
![](http://4.bp.blogspot.com/-nymw8KOWZHk/U8gVuiCIYHI/AAAAAAAF3LM/kZ9GYAfOM-w/s1600/article-2696004-1FB9976E00000578-909_964x373.jpg)
"Msimu uliopita mmemaliza ligi mkiwa nafasi ya saba kwa hiyo nyie sio klabu kubwa duniani. Mnahitaji kujidhihirisha wenyewe, ingawa dunia nzima wanazungumzia Manchester United - hiyo ndio tofauti", alisema.
"Hii ni changamoto kubwa na ndio maana...
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Manchester United ‘wamkuna’ Van Gaal
11 years ago
TheCitizen14 Jul
Van Gaal looks to replicate Dutch success with United
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Van Gaal: Man United bado sana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtEs*GhvFmBY5lm8ryu23B62MvUBoTEZMcXTdU2Zem3ith5jWuBlWfqcuqKUA3n64pio36hcSO8xyeutAlA7mETR/MANUTD4.jpg)
VAN GAAL AENDELEZA FURAHA MAN UNITED
10 years ago
BBCSwahili15 Sep
Van Gaal: United inalenga taji la EPL
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Man United: van Gaal ''mimi si kiziwi''