Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIDEO: BURUDANI ZATAWALA KANUMBA DAY DAR LIVE

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BURUDANI ZATAWALA DAR LIVE KABLA YA UZINDUZI WA ALBAMU MPYA 'CHOZI LA MAMA'

Mashabiki wa Jahazi Modern Taarab wakijiachia ndani ya Dar Live usiku huu kabla ya uzinduzi wa albamu mpya 'Chozi la…

 

11 years ago

GPL

KANUMBA DAY DAR LIVE

KANUMBA DAY  itafanyika mwezi ujao  tarehe 7/4/2014 katika ukumbi wa Dar Live mbagala tiketi za tamasha la uzinduzi wa Kanumba Foundation  zitauzwa siku mbili kabla ya tamasha. Tiketi zitapatikana kwa Shilingi 2,000 kwa watoto wadogo Shilingi 10,000 kawaida na viti maalum vitakuwa Shilingi 50,000.  Tiketi zitapatikana Global PublisherS, Tabata sheli duka la Smart Fashion,Vanne Fashion tabata shule,Ofisi za Kanumba the...

 

11 years ago

GPL

WATOTO WALIVYOADHIMISHA KANUMBA DAY NDANI YA DAR LIVE

Watoto wakiburudika na burudani katika kumbukumbu ya Kanumba Day ndani ya Dar Live. Watoto wakishindana kucheza wimbo wa Majanga wa msanii Snura Mushi.…

 

11 years ago

GPL

KANUMBA DAY NDANI YA DAR LIVE USIKU HUU

Akina dada wakionyesha baadhi ya kazi za marehemu Steven Charles Kanumba ndani ya ukumbi wa kisasa wa Dar Live. Filamu, viatu, gitaa na picha ya marehemu Kanumba akiwa na Rais Jakaya Kikwete vikiwa eneo maalum kwa ajili ya Kanumba Day.…

 

11 years ago

GPL

KANUMBA FOUNDATION YAZINDULIWA USIKU WA KUAMKIA LEO DAY DAR LIVE

Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba akizindua rasmi Kanumba Foundation usiku wa kuamkia leo ndani ya Dar Live. ...Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania ( TAFF), Simon  Mwakifwamba na Mama Kanumba (katikati) wakionyesha Katiba ya Kanumba…

 

10 years ago

GPL

MALAIKA BAND WAFUNGUA PAZIA LA BURUDANI VALENTINE DAY, DAR LIVE

Waimbaji wa Malaika Band wakifanya makamuzi jukwaani. Umati wa mashabiki wa burudani wakicheza sambamba na bendi ya Malaika Music katika Usiku wa…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani