Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Nikistaafu, nitapenda kuupanda mlima Kilimanjaro — Obama

Rais wa Marekani, Barack Obama amesema pindi akimaliza muhula wake wa pili, atapenda kuja Tanzania kwa mara ya pili na kuupanda mlima Kilimanjaro. Obama alisema hayo juzi kwenye mahojiano exlusive na kituo cha redio cha Capital FM cha Kenya. Mtangazaji wa kituo hicho, Olive Burrows alimuuliza swali la ni maeneo gani anayopenda kutembelea kipindi akienda […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

Nitapenda Kuupanda Mlima Kilimanjaro — Obama

Rais wa Marekani, Barack Obama amesema pindi akimaliza muhula wake wa pili, atapenda kuja Tanzania kwa mara ya pili na kuupanda mlima Kilimanjaro.

Obama alisema hayo juzi kwenye mahojiano mahsusi na kituo cha redio cha Capital FM cha Kenya.

Mtangazaji wa kituo hicho, Olive Burrows alimuuliza swali la ni maeneo gani anayopenda kutembelea kipindi akienda Kenya kama raia wa kawaida na Obama kusema angependa kutembea Masai Mara na Serengeti pamoja na kwenda kuukwea mlima mrefu zaidi barani...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA MALIASILI YABARIKI KUANZISHWA KWA MFUKO WA KULINDA MLIMA KILIMANJARO NA MLIMA MERU

Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akizungumza wakati wa kikao kilicho shirikisha Kamati ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Mazingira,Wabunge katika majimbo ya mikoa ya Arusha na Kilimanjaro,Wakuu wa wilaya zinazopakana na mlima Kilimanjaro na mlima Meru,TANAPA na Idara ya Misitu,(kulia)ni kaimu mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ,Ibrahim Msengi.Naibu waziri wa TAMISEMI ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Siha ,akichangia wakati wa kikao cha kuanzishwa kwa mchakato wa uanzishwaji mfumo wa...

 

10 years ago

Vijimambo

HIFADHI YA MLIMA KILIMANJARO YATANGAZA OFA YA KUPANDA MLIMA HUO KWA WATALII WA NDANI WA AFRIKA MASHARIKI.

Mhifadhi utalii katka hifadhi ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA),Eva Mallya akizungumza juu ya ofa iliyotangazwa na hifadhi hiyo ya kupanda mlima huo kwa siku moja na kurudi hadi kilele cha Shira.
Afisa masoko wa KINAPA ,Antypas Mgungusi akisistiza jambo wakati akizungumzia juu ya ofa ya safafri ya kupanda Mlima Kilimanjaro huku akishauri wenye sherehe zao kutumia nafasi hiyo kupanda Mlima huo kwa ajili ya kufanya sherehe zao,alitaja sherehe ambazo zinaweza fanyika katika hifadhi hiyo ni pamoja na...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KILIMANJARO YAPONGEZA JITIHADA ZA WAFANYABIASHARA KUTANGAZA HIFADHI YA MLIMA KILIMANJARO

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akimvisha taji,mfanyabiashara mashuhuri katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro,Vicent Laswai mara baada ya kufanikiwa kufika katika Kilele cha Mlima Kilimanjaro.Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akimkabidhi cheti mfanyabiashara mashuhuri,Vicent Laswai kwa niaba ya hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA ) mara baada ya kufanikiwa kufika katika kilele cha Mlima Kilimanjaro.
RC Gama akikabidhi zawadi za T-shirt kutoka KINAPA kwa mke wa...

 

10 years ago

Michuzi

MFANYABIASHARA MASHUHURI MIKOA YA ARUSHA NA KILIMANJARO VICENT LASWAI APANDA MLIMA KILIMANJARO

Mfanyabiashara mashuhuri katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro,Vicent Laswai akitia saini katika kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika ofsi za Hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) kabla ya kuanza safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro.Mfanyabiashara Vicent Laswai akijadiliana jambo na Mhifadhi mkuu wa Hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro(KINAPA) ,Erastus Rufungulo kabla ya kuaza safari ya kupanda mlima Kilimanjaro. kulia ni mkurugenzi wa kampuni ya Topi Raisen Richard...

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA Kilimanjaro watakiwa kusimama imara na kudai fursa mbalimbali zikiwamo za kupewa kipaumbele katika ajira zinazotokana na mlima Kilimanjaro

VIJANA wa mkoa wa Kilimanjaro wametakiwa kusimama imara na kudai fursa mbalimbali zikiwamo za kupewa kipaumbele katika ajira zinazotokana na mlima Kilimanjaro.

Kauli hiyo ilitolewa jana jijini na Naibu Kamanda wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wilaya ya Moshi Vijijini, Innocent Melleck alipokuwa akizungumza na waandishi wahabari juu ya mkakati wa kupambana na wimbi la vijana walio mitaani kwa kukosa ajira katika mkoa wa Kilimanjaro .  Melleck alisema anatarajia kuitisha...

 

9 years ago

Habarileo

UN yapanda miti mlima Kilimanjaro

MASHIRIKA ya Umoja wa Mataifa yaliyopo nchini yameadhimisha miaka 70 ya kuundwa kwa chombo hicho kwa kupanda miti zaidi ya 2,000 katika miteremko ya mlima Kilimanjaro.

 

11 years ago

Habarileo

Mlima Kilimanjaro wapoteza theluji

MLIMA Kilimanjaro umepoteza takribani asilimia 30 ya theluji kuanzia mwaka 1912 mpaka sasa, Bunge limeelezwa.

 

10 years ago

Habarileo

Mjapan aliyepooza apanda Mlima Kilimanjaro

RAIA wa Japan , Eiju Murakami (65) aliyepooza upande wa kushoto, ameweza kupanda Mlima Kilimanjaro na kufika kituo cha Gillmans kwa kutumia siku sita. Murakami aliongozana na raia mwenzake wa nchi hiyo, Umori Kamji anayefanya shughuli zake za utalii katika miji ya Arusha na Moshi .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani