Video: Timiza na Airtel Money
Pata mikopo rahisi mikononi mwako utimize ahadi kwa uwapendao. Piga *150*60# sasa!
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PFkGXzvV6ok/VF93IUAlDCI/AAAAAAACuco/epVvEyPYtpM/s72-c/PROF.%2BMBARAWA-5.jpg)
AIRTEL YAZINDUA HUDUMA MPYA YA AIRTEL MONEY TIMIZA MJINI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-PFkGXzvV6ok/VF93IUAlDCI/AAAAAAACuco/epVvEyPYtpM/s1600/PROF.%2BMBARAWA-5.jpg)
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-PFkGXzvV6ok/VF93IUAlDCI/AAAAAAACuco/epVvEyPYtpM/s1600/PROF.%2BMBARAWA-5.jpg)
AIRTEL YAZINDUA HUDUMA MPYA YA AIRTEL MONEY TIMIZA MJINI DODOMA
 Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa (wa nne kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (wa tatu kulia), Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Dk. Rehema Nchimbi (wa tatu kushoto), Katibu Tawala wa mkoa wa Dodoma, Rehema Madenge, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano (wa pili kulia), Mkurugenzi wa Biashara wa Airtel, Arindam Chakrabarty (kulia) wakipiga makofi baada...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bWMaRLvxNhE/UzVwGnKqCNI/AAAAAAAFW-E/jDepWX5RxQA/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Wateja wa Airtel kulipa mikopo ya masomo kupitia huduma ya Airtel Money
![](http://4.bp.blogspot.com/-bWMaRLvxNhE/UzVwGnKqCNI/AAAAAAAFW-E/jDepWX5RxQA/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bQawozy3TjQ/UzVwImpeqrI/AAAAAAAFW-I/-4cSLuLPBc0/s1600/unnamed+(29).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6ZGyqJpi*tUj-gV3zObz9dqUt5eadYNsHwegY5-LGqTnL-IfAvHmdOIvtUilj2JcAj2BNelblsIu-4E4lPA*RPZ/1.jpg?width=650)
WATEJA WA AIRTEL KULIPA MIKOPO YA MASOMO KUPITIA HUDUMA YA AIRTEL MONEY
Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu Bwana Juma Chagonja akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma itakayowawezesha wahitimu wa vyuo mbalimbali nchini kurejesha mikopo yao kupitia huduma ya Airtel Money, kushoto ni Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde. Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma itakayowawezesha wahitimu wa vyuo mbalimbali nchini kurejesha mikopo yao...
11 years ago
GPLAIRTEL YAZINDUA LUKU OFA KUPITIA HUDUMA YA AIRTEL MONEY
Meneja Uendesha kitengo cha Airtel Money Asupya Naligingwa akiongea wakati wa uzinduzi wa ofa itakayowawezesha wateja wa Airtel kupata LUKU Bonus kupitia huduma ya Airtel Money. Airtel Yazindua LUKU OFA kupitia huduma ya Airtel Money
· Wateja kupata bonus ya LUKU pale watakaponunua LUKU kupitia huduma ya Airtel money Dar es Salaam, Mei 5th 2014 Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imezindua ofa mpya itakayowawezesha...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8iRmsUdzQv4/Vgzl7gph8bI/AAAAAAAH8Aw/Wx-w1rFrMEg/s72-c/PIC%2B1.jpg)
AIRTEL YATOA GAWIO LA TSHS BILIONI 5.3 KWA WATEJA WA AIRTEL MONEY
![](http://4.bp.blogspot.com/-8iRmsUdzQv4/Vgzl7gph8bI/AAAAAAAH8Aw/Wx-w1rFrMEg/s640/PIC%2B1.jpg)
Meneja biashara wa kitengo cha Airtel Money, Bwn Asupya Naligingwa(kushoto) akiongea na waandishi wa habari wakati wa kutangaza Airtelkugawa gawio la faida la zaidi ya shilingi billion 5 kwa wateja namawakala wake wanaotumia huduma ya Airtel Money nchi nzima. Pichanini Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania Bi Jane Matinde
KAMPUNI ya simu za mkononiya Airtel leo imetangaza kugawa zaidi ya shilingi bilioni 5 kwa watejana mawakala wake wanaotumia huduma ya Airtel Money nchi nzima
Uamuzi huo wa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun0*xsU4tU-0yv*sh*UU1XpSTHllDd96mNWzA1lz86ABe3NFPeNFGV1STwsqJGZd6K7eBcah3Pg-FBGdrzb449N4/1.jpg)
AIRTEL YATOA MIKOPO KWA MAWAKALA WA AIRTEL MONEY
Afisa Mkuu wa Biashara wa Airtel Tanzania, Arindam Chakrabarty (kushoto), Kamishna Msaidizi wa Wizara ya Fedha, Ridhiwan Masudi (kulia) na Mkurugenzi wa Afb Tanzania, Wayne Stocks wakionyesha bango kama ishara ya uzinduzi wa huduma mpya ya mikopo kwa mawakala wa Airtel Money ijulikanayo kama ‘Timiza Mikopo kwa Wakala’, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GRl8MekOaxg/U2iP8SLNY0I/AAAAAAAFf0g/kexVVesgQXg/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Airtel Yazindua LUKU OFA kupitia huduma ya Airtel Money
![](http://1.bp.blogspot.com/-GRl8MekOaxg/U2iP8SLNY0I/AAAAAAAFf0g/kexVVesgQXg/s1600/unnamed+(5).jpg)
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imezindua ofa mpya itakayowawezesha wateja wake kupata LUKU Bonus kila wakati watakaponunua LUKU kupita huduma Airtel Money. ofi hii ni mwendelezo wa dhamira ya Airtel katika kuhakikisha wateja wake wanapata huduma bora nchini.
Akiongea kuhusu ofaa hii Meneja wa kitengo...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/viirmOBcoEHEJB2k6*8UyDoXYCddaTgb*LewPrJCgRZMwSYFxzktatuuuOJA6GhlkWhw1s7Tb-TujtNYYVvrODb629m3Xmbo/PIC1.jpg?width=650)
AIRTEL YATOA GAWIO LA TSHS BILIONI 5.3 KWA WATEJA WA AIRTEL MONEY
Meneja biashara wa kitengo cha Airtel Money, Bwn Asupya Naligingwa (kushoto) akiongea na waandishi wa habari wakati wa kutangaza Airtel kugawa gawio la faida la zaidi ya shilingi billion 5 kwa wateja na mawakala wake wanaotumia huduma ya Airtel Money nchi nzima. Pichani ni Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania Bi Jane Matinde. Dar es Salaam, Jumatano 30 Septemba 2015, Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imetangaza...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania